Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,449
Kesho kuna Uchaguzi ambapo watu wataamka mapema,na labda watachelewa kulala. Kwa hiyo tupumzike vizuri tuwe tayari kwa shughuli ya kesho. Na itakuwa ni kazi kubwa,siyo tofauti na Burundi. Dr. Shein ana kazi kubwa kama Nkurunzinza;to convince the Zanzibaris that the election is necessary,pia jumuia ya kimataifa.