Kama kuna alieitwa TPDC

Kama kuna alieitwa TPDC

queenlishas

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2014
Posts
288
Reaction score
76
Habari wana JF, kama kuna alieitwa TPDC kati ya wale tuliofanya interview ya mwisho tupeane update please
 
Bado kaka mm na jamaa zangu tunawasiliana ila kimya ......hope soon watatoa results.
 
Hana lolote huyo mwongo aitwe mwenyewe kama nani mbona kwemy interview hakuitwa pekee
 
Kwa hiyo position wameamua kuchkua mzawa mmoja wngine watakuwa expatriates maana wazawa wangine hawaku-meet qualifications. Posts zingine ndio tunaziweka sawa zitatoka soon.
 
huyo aliyeitwa mbona haleti taarifa kamili? au anazingua
 
By TzPride:
Nimeitwa kwa post ya Plant
Manager

TzPride
Kwa hiyo position wameamua
kuchkua mzawa mmoja wngine
watakuwa expatriates maana
wazawa wangine hawaku-meet
qualifications. Posts zingine ndio
tunaziweka sawa zitatoka soon.

Haina haja ya kupoteza nafasi ya kuwasikiliza watu wenye kujiona wao ni bora na ukisoma maelezo hayo ya huyo anayeita Tz Pride unaona kabisa anachoongea ni uongo mtupu,tuendelee kusubiri naamini watatoa tu majina kama walivyoita kwenye Oral Interview
 
By TzPride:
Nimeitwa kwa post ya Plant
Manager

TzPride
Kwa hiyo position wameamua
kuchkua mzawa mmoja wngine
watakuwa expatriates maana
wazawa wangine hawaku-meet
qualifications. Posts zingine ndio
tunaziweka sawa zitatoka soon.

Haina haja ya kupoteza nafasi ya kuwasikiliza watu wenye kujiona wao ni bora na ukisoma maelezo hayo ya huyo anayeita Tz Pride unaona kabisa anachoongea ni uongo mtupu,tuendelee kusubiri naamini watatoa tu majina kama walivyoita kwenye Oral Interview

Chukulia angekua ndo wema sepetu angekua ameshabadilisha "MABWANA" wangap mpaka sasa kutaka umaarufu!


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Hahaaaaaaaa anaota ndoto huyo nanikiwa askari pale kiwandan hao ndo wakuwaogopa sana ....... n bakora tu ngoja nisaini
 
TPDC bado hawajaita msiwe na shaka wakiita hata mie ntawatonya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom