usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,905
- 13,874
Yaan. Inaskitisha sana kuona nchi kama Italy inakosa kwenda kushiriki world cup 2018 huko Kwa Purtin na mvuto wa haya mashindano umeisha bingwa maraa kadhaa anashindwa kwenda. Aiseee!!
Italy anahitaji ushindi mnono dhidi ya Sweden jumatatu hii ili afike Kwa Purtin Maana game ya kwanza Italy alichapwa 1 Kwa mtungi ugenini
Sasa nashindwa kuelewa nini Kimeikumba hii nchi jamani!
Maana hawana vita wala nini Wamezembee tu kama Netherland
Italy anahitaji ushindi mnono dhidi ya Sweden jumatatu hii ili afike Kwa Purtin Maana game ya kwanza Italy alichapwa 1 Kwa mtungi ugenini
Sasa nashindwa kuelewa nini Kimeikumba hii nchi jamani!
Maana hawana vita wala nini Wamezembee tu kama Netherland