Kama Idd Azzan alihojiwa na kuachiwa basi hii vita inazua maswali mengi

jogi

JF-Expert Member
Sep 25, 2010
25,556
25,339
Huyu jamaa ambaye makazi yake ni pale kwa bibi nyau alipotajwa kwenye orodha ya wafanyabiashara wanaojihusisha na madawa ya kulevya nilishawishika kwa mbaaaaaali kuwa mpambano una kaukweli kiaina.

Lakini alipoenda Central police akaonana na Sirro, muda mfupi baadae akirudi zake "kwa bibi nyau" akitumia usafiri wake wa Jeep jekundu, ama kwa hakika wakazi majirani na Iddi wanaona mtu mmoja anavyowafanya watanzania kuwa "mazoba"

Yaani Iddi huyu huyu tunaemfamu??
Au mna malengo yenu????
 
Mkuu kama ulijaribu walau kuhisi tu kwamba hii vita ina lengo la kupambana na biashara hii haramu basi ulikosea sana,nakushauri ukatubu ili usamehewe dhambi ya kudhani kuwa Makonda ana nia ya kupambana na wauza dawa za kulevya.

Hii ni sanaa ya kiwango cha chini sana isiyokidhi hata vigezo vilivyowekwa na baraza letu la sanaa(BASATA).
 
Mkuu kama ulijaribu walau kuhisi tu kwamba hii vita ina lengo la kupambana na biashara hii haramu basi ulikosea sana,nakushauri ukatubu ili usamehewe dhambi ya kudhani kuwa Makonda ana nia ya kupambana na wauza dawa za kulevya.

Hii ni sanaa ya kiwango cha chini sana isiyokidhi hata vigezo vilivyowekwa na baraza letu la sanaa(BASATA).
Mnisamehe bure maana ushauri wako unaviwango.
 
M nlikuwa mpinzan but niliacha baada ya magufuli kuchukua nchi.
Wapinzan n vilaza.
Ukitaka kujua kuwa n vilaza angalia hicho chama kinavyojiendesha kinakosa hata ethics.
Mkitaka kujua kuwa hii vita itaishia wapi ipen muda.
 
Back
Top Bottom