Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

Ndugu zangu kama kijana mwenzenu nawashauri kama huna sababu za msingi usiingie kwenye mahusiano,

Mahusiano ya sasa ni hasara tupu, hakuna faida hata moja utakayopata zaidi ya kujiongezea matatizo.
Seconded


Tujitahidi iwe win win game
 
Mapenzi yangekuwa ni kitu kibaya kiletacho hasara basi watu wasingehangaika nayo..

Kuna sehemu hukuchanga vema karata zako
 
Back
Top Bottom