Kama house girl wa Samatta ni mzungu kwani wachina wasifagie barabara kwetu?

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
16,054
11,567
Huyu ni house girl wa mchezaji mpira Mbwana Samatta. Inabidi nasisi watanzania tubadilike tusione kazi za chini kama ulinzi kuzoa taka na kuosha masufuria hotelini ndio zinazotustahili, hebu tubadilike tuwaajiri wachina wafilipino na wabangaladesh katika kazi za kuzoa taka.

Utakuta watu wanalalamika wachina wamejazana kariakoo wengine wanakokota hata mikokoteni, ndiyo hizo kazi ndio wanapaswa kuzifanya wakiwa huku na sio kuwa mameneja na wakarugenzi wa makampuni.

SAMATA.jpg
 
Huyu ni house girl wa mchezaji mpira Mbwana Samatta. Inabidi nasisi watanzania tubadilike tusione kazi za chini kama ulinzi kuzoa taka na kuosha masufuria hotelini ndio zinazotustahili, hebu tubadilike tuwaajiri wachina wafilipino na wabangaladesh katika kazi za kuzoa taka.

Utakuta watu wanalalamika wachina wamejazana kariakoo wengine wanakokota hata mikokoteni, ndiyo hizo kazi ndio wanapaswa kuzifanya wakiwa huku na sio kuwa mameneja na wakarugenzi wa makampuni.

SAMATA.jpg
Wabongo acheni ushamba uliopitiliza. Kila mtu mweupe si mzungu! Na si kila mzungu ni tajiri. Na kuwa na mfanyakazi wa ndani wa kizungu kama unaishi Ulaya si ajabu. Ni fedha utakayoweza kumlipa tu. Kwa kifupi unaweza kuwa na mtu wa kuja kufanya kazi kwa muda wa masaa 2 au 3 kila siku au siku unazohitaji tu. Kiwango cha malipo kinaweza kuwa euros 8-10 kwa saa 1 ya kazi.
 
Housegirl wa Bongo ni majanga tu, nashangaa eti wanapiga kura kichagua viongozi baadaye serikali ikiwapuuza katika kulinda haki zao.
 
Huyu ni house girl wa mchezaji mpira Mbwana Samatta. Inabidi nasisi watanzania tubadilike tusione kazi za chini kama ulinzi kuzoa taka na kuosha masufuria hotelini ndio zinazotustahili, hebu tubadilike tuwaajiri wachina wafilipino na wabangaladesh katika kazi za kuzoa taka.

Utakuta watu wanalalamika wachina wamejazana kariakoo wengine wanakokota hata mikokoteni, ndiyo hizo kazi ndio wanapaswa kuzifanya wakiwa huku na sio kuwa mameneja na wakarugenzi wa makampuni.

SAMATA.jpg
No problem
 
Wabongo acheni ushamba uliopitiliza. Kila mtu mweupe si mzungu! Na si kila mzungu ni tajiri. Na kuwa na mfanyakazi wa ndani wa kizungu kama unaishi Ulaya si ajabu. Ni fedha utakayoweza kumlipa tu. Kwa kifupi unaweza kuwa na mtu wa kuja kufanya kazi kwa muda wa masaa 2 au 3 kila siku au siku unazohitaji tu. Kiwango cha malipo kinaweza kuwa euros 8-10 kwa saa 1 ya kazi.

sawa kabisa, comrade
 
Wewe ndie yule ulokwenda Ulaya ukashangaa kumuona mtoto mdoooogo anaongea Kiengereza!

Suala la kujiuliza, huyo house girl wa Samatta yuko nchi gani? Kama Samatta yuko Ulaya ulitegemea awe na house girl Mnyaturu? By the way, ni Mzungu kwa sababu Wazungu wanataka pesa yao izunguke mule mule, na hela anayolipwa huyu dada ni ndefu kwa sababu ni professional wanakuwa hawa sio wale wa kuokota mitaani tu. Kwa mfano, anaweza kumpiga picha Samatta na girl friend wake mpya na kuuza kwenye media na akala hela ndefu, lakini kwa vile ni mtu anayefata maadili ya kazi yake, hafanyi hivyo. Lakini vile vile, si punde tu utasikia Samatta kaichukuwa familia yake na house girl Mnyaturu kutoka Bongo kwa vile wakati mwengine anatamani kula vyakula vya nyumbani.!

Suala ni kuwa ukiwapa Wachina kazi ya kuzowa taka, Wabongo watafanya kazi gani, ya kuendesha ndege mpya za ATC? Wakati mwengine nikiingia JF huangalia mara mbili mbili kama ni kweli nimo JF na sio FB, mada nyengine ni za watoto wa nursey!
 
Huyu ni house girl wa mchezaji mpira Mbwana Samatta. Inabidi nasisi watanzania tubadilike tusione kazi za chini kama ulinzi kuzoa taka na kuosha masufuria hotelini ndio zinazotustahili, hebu tubadilike tuwaajiri wachina wafilipino na wabangaladesh katika kazi za kuzoa taka.

Utakuta watu wanalalamika wachina wamejazana kariakoo wengine wanakokota hata mikokoteni, ndiyo hizo kazi ndio wanapaswa kuzifanya wakiwa huku na sio kuwa mameneja na wakarugenzi wa makampuni.

SAMATA.jpg
Huyo dada analipwa dola 25 kwa saa moja. Wewe una uwezo wa kumlipa mchina dola ngapi per hour?
 
Euros 8 kwa saa akifanya masaa mawili kwa mwezi si mshahara wa meneja wa kiwanda kwa mwezi anayefanya masaa 8 kwa siku
 
Duh!
Hivi anayemuoshea rungu samatta ni nani? Afanye paperwork ya mpenzi wake kama alimuacha Dar aende huko fasta!
 
Wabongo acheni ushamba uliopitiliza. Kila mtu mweupe si mzungu! Na si kila mzungu ni tajiri. Na kuwa na mfanyakazi wa ndani wa kizungu kama unaishi Ulaya si ajabu. Ni fedha utakayoweza kumlipa tu. Kwa kifupi unaweza kuwa na mtu wa kuja kufanya kazi kwa muda wa masaa 2 au 3 kila siku au siku unazohitaji tu. Kiwango cha malipo kinaweza kuwa euros 8-10 kwa saa 1 ya kazi.
Point yako Ni ipi asa?
 
Back
Top Bottom