Kama hampo kwenye ndoa huna haki ya kulalamikia usaliti

Hazard CFC

JF-Expert Member
Apr 7, 2015
16,615
38,589
Watu waliofunga ndoa ndio pekee wana haki ya kulalamika kuhusu usaliti, sio wazinzi wawili waliochanganyikiwa wanaojiita boyfriend na girlfriend. Sijasema msalitiane ila kama ikitokea acha kushupaza shingo na kumwaga mapovu kama upo kwenye ndoa ya miaka 20.

Yani tumekutana hatuna hata mwezi tayari tushaanza kukunjana mashati na kumwagiana bia
 
kweli kabisa, eti mtu unaishinkinyumba na mwanaume miaka 30 unamwita mmeo, naninkakwambia? huyo mtu yeyote akimtaka , hata mwanamke wake wa zamani wakikutana wanafanyana tu kukumbushiana, hakuna cha eti ni mme, mpaka muoane ndio mnaweza kulindana
 
kweli kabisa, eti mtu unaishinkinyumba na mwanaume miaka 30 unamwita mmeo, naninkakwambia? huyo mtu yeyote akimtaka , hata mwanamke wake wa zamani wakikutana wanafanyana tu kukumbushiana, hakuna cha eti ni mme, mpaka muoane ndio mnaweza kulindana
Upo sawa kabisa mkuu
 
Nadhani hii inawahusu wavulana na wasichana maana sisi watu wazima hatuitani boyfriend na girlfriend.
Tunaitana wapenzi,mshkaji wangu mtarajiwa n. K
 
Nadhani hii inawahusu wavulana na wasichana maana sisi watu wazima hatuitani boyfriend na girlfriend.
Tunaitana wapenzi,mshkaji wangu mtarajiwa n. K
Na hao ndio wengi humuu siku hizi
 
Back
Top Bottom