Anayekataa chanjo kwa hiari ndio achangie kiasi kikubwa kuliko,anayetaka kuchannjwa,kwa asiyetaka yupo kwenye hatari ya kuugua zaidi na kuwaambukiza wengine na hivyo kuongeza uwezekano wa kuligharimu taifa pesa za walipa kodi,kwa maana ya matibabu yake nawale atakao waambukiza.