The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,208
Huu ndiyo ukweli, kwa hii ya Msaada uliotolewa basi watakaopatiwa pia wachangie gharama ambazo zitatumika kuwalipa posho wahudumu maana pesa za wananchi haziwezi kutumiwa na wachache.
Tumeambia serikali itakoma pesa takribani 500m USD ili iweze kununua chanjo na pesa hizo zitalipwa na Watanzania wote bila kujali umechanjwa ama la.
Sasa kulingana na swala hili kuwa si la lazima na pia siyo la kitaifa (yes siyo la kitaifa maana ni hiyari) basi watakaoitumia chanjo hiyo walipie ili pesa hizo zitumike kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa wote.
#povu ruksa.
Tumeambia serikali itakoma pesa takribani 500m USD ili iweze kununua chanjo na pesa hizo zitalipwa na Watanzania wote bila kujali umechanjwa ama la.
Sasa kulingana na swala hili kuwa si la lazima na pia siyo la kitaifa (yes siyo la kitaifa maana ni hiyari) basi watakaoitumia chanjo hiyo walipie ili pesa hizo zitumike kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa wote.
#povu ruksa.