mkuu kuwezi kupata mtu msafi ndani ya ccm,mwangalie Magufuli alikuwa waziri wa ardhi na makazi,alihusika kujiuzia nyumba za serikal ikwa bei ya kutupa wao,familia zao na mahawara zao,na hata leo akiulizwa anatetea.
Kimaro alitaka kupeleka hoja ya nyumba za serikali zirudishwe akapingwa,magufuli shujaa wao jizi tu,Huyo jamaa alidiriki kusema kama tukisema yote kuhusu Richmond serikali inaweza kuanguka,ila kwa sababu ni mpenda madaraka aliamua kukaa kimya na sasa kapewa madaraka kimya,simuonei huruma na ndiyo maana wakataka kumuua ili asije akasema ukweli.
hakuna msafi ndani ya ccm