dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Wakati bunge limehairishwa Juzi J3 hoja nyingi za wabunge zilionyesha kuwa wizara nyingi hazikapewa fedha kulingana na bajeti ya serikali ya 2011/2012 ya sh. Tril 12.
Kwa mfano wizara ya ujenzi ilipangiwa tril 1.2 na ilikuwa inadaiwa sh Bil 400 na ushehe lakini mpaka mwezi February hazina ilikwisha toa sh bil 300 inamaana zaidi ya bil 900 haIjatoka na tunaelekea bajeti nyingine mwezi wa sita.
Napenda kujua ile ilikuwa bajeti hewa?
Fedha zilikuwepo na zimefanya nn?
Je wizara zote ndo hivi?
Kumbuka uchumi unakuwa kwa 7%
Na TRA imevuka malengo ya ukusanyaji wa kodi
Kwa mfano wizara ya ujenzi ilipangiwa tril 1.2 na ilikuwa inadaiwa sh Bil 400 na ushehe lakini mpaka mwezi February hazina ilikwisha toa sh bil 300 inamaana zaidi ya bil 900 haIjatoka na tunaelekea bajeti nyingine mwezi wa sita.
Napenda kujua ile ilikuwa bajeti hewa?
Fedha zilikuwepo na zimefanya nn?
Je wizara zote ndo hivi?
Kumbuka uchumi unakuwa kwa 7%
Na TRA imevuka malengo ya ukusanyaji wa kodi