Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Najiuliza vijana wamefanya mtihani wa form4 October mwaka jana, March/April (miezi 5/6 baadae) tumekuwa na uombaji wa kujiunga na masomo chini ya NACTE na Vyuo vikuu Vichache. Selection za F5 (advance) hadi sasa bado, zinategemewa mwezi huu wa sita-takribani miezi 7/8 toka vijana walipo maliza mitihani.
Raundi nyingine chini ya NACTE na Vyuo vikuu vinavyo toa certificate na diploma, ni kuanzia labda July /August na masomo kuanza October/November -takribani mwaka mzima baada ya mitihani ya F4. Hivi kweli tumeshindwa kufupisha muda wa vijana kukaa nje ya masomo kwa miezi yote hii? Je hii inaridhisha?
Nakumbuka enzi hizo mtu alimaliza form four November na kupata selection mara moja na form 5 walikwenda January hata kabla ya majibu ambayo February /March yalitoka.
Najua zama hizo zimepita lakini naamini siyo lazima vijana wakae muda wote huo nje ya masomo.
Raundi nyingine chini ya NACTE na Vyuo vikuu vinavyo toa certificate na diploma, ni kuanzia labda July /August na masomo kuanza October/November -takribani mwaka mzima baada ya mitihani ya F4. Hivi kweli tumeshindwa kufupisha muda wa vijana kukaa nje ya masomo kwa miezi yote hii? Je hii inaridhisha?
Nakumbuka enzi hizo mtu alimaliza form four November na kupata selection mara moja na form 5 walikwenda January hata kabla ya majibu ambayo February /March yalitoka.
Najua zama hizo zimepita lakini naamini siyo lazima vijana wakae muda wote huo nje ya masomo.