Kakosea number na kutaka kuniingiza mjini

Kakosea number na kutaka kuniingiza mjini

Oxygen gas

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
247
Reaction score
236
Two months ago kuna msichana alikosea number na kunipigia simu. Baada ya maongezi mawili matatu akaanza nirushia shida zake.
1.Nitumie nauli nije kwako.
2.Nitumie zawadi ya mwaka mpya.
3.Sina simu hii nayotumia ya mama.

Hapo nikasema Duniani kuna mengi, yaani siku moja tu mahitaji yote hayo? Nilitulia tuli akaanza nitafuta kila siku.

Jamani wadada kwa mwendo huu wa mizinga mtaishia kuishi kwenu.
 
Mimi mtu akishaniambia kakosea no halafu anaanza story huwa namuona mwizi tu
 
Hii mi inanikuta kila wiki kuna mtu Namba inafanana na yangu utofauti ni Namba moja tu

Wengi wakosea Namba no wapiga mizinga
 
Anakuwa amechukua number kwa watu wa mobile money...halafu ndiyo anazuga kakosea number ili akulipue vizuri.
 
Two months ago kuna msichana alikosea number na kunipigia simu. Baada ya maongezi mawili matatu akaanza nirushia shida zake.
1.Nitumie nauli nije kwako.
2.Nitumie zawadi ya mwaka mpya.
3.Sina simu hii nayotumia ya mama.

Hapo nikasema Duniani kuna mengi, yaani siku moja tu mahitaji yote hayo? Nilitulia tuli akaanza nitafuta kila siku.

Jamani wadada kwa mwendo huu wa mizinga mtaishia kuishi kwenu.
hahaha na mimi nitumie nauli
 
Hata kama kukwama ni kipindi cha mvua tu wao kila siku wamekwama kha
 
Back
Top Bottom