Wanafunzi wengi wa Kitanzania wanadhani wanaweza kua na taaluma nzuri ya kiswahili bila kusoma kwa bidii.
Kuzaliwa Tanzania sio tiketi ya mtu kuongea kiswahili fasaha,unatakiwa kusoma kwa bidii na maarifa,Marekani
na Uingereza wapo watu wazembe wa kusoma lugha yao na hawajui lugha ya kiingereza kwa ufasaha.
"KAKA ZANGU WANA WAKE" 100%vema! Ukitaka kujua ukweli fuatilia ngeli za maneno katika sentensi hiyo.
NA SIO SAWA KUSEMA "KAKA ZANGU WANAWAKE"