Kajaniomba samahani.........

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Alinizani bandia,ndani ya maisha yake
Wala sikufikiria ,kma ntarudi kwake
Sitorudi abadani,sitorudi abadan
ni kheri niazirike

Lakini leo karudi,kama jambo halikua
Na macho yake shahidi,kaja kuniangukia
Kajaniomba nirudi mapenzi kuyarudia aaaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkataliee?

Vikuba vya asumini,kaniletea tamasha
Mapenzi ya utotoni,leo kaja yakumbusha
Yanamwenda midomoni,kwa furaha na bashashaa
Kaja omba samahani,vipi nimkatalie.
Vipi nimkatalie?

Sikoai kunahibika,niko mwake mikononi
Uso nimeuvubika,fudi fudi kifuani
Kama mwana amefika,kwa mama mwenye imaniii
Kaja omba smahani,vipi nimkatalie
Vipi nimkatalie?


$ U r My Number 1 $
 
hembu kwanza nipe maana ya "sikoai kunahibika"
 

malenga wetu
 
Na kujifutika kifuani tena! Umeshamsamehe huyo,sahauni tu yalopita.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…