Kaizer Chief Yatwaa Ubingwa Baada Ya Miaka 10

Kaizer Chief Yatwaa Ubingwa Baada Ya Miaka 10

Nilitaka kushangaa mamelodi alikuwa wapi
Unadhani hakushiriki? Kashiriki katolewa, hayo mashindano ni sawa sawa na CRDB federation cup kwa huku kwetu sio Bonanza hilo. Bingwa anaenda kucheza kombe la shirikisho CAF
 
Nani anakuja vizuri sana next season Motaung wampe usajili mzuri hasa wa golikipa na striker watampenda
Kawapiga giant wote kwenye hii game
 
Back
Top Bottom