Kaisoma na kuielewa katiba kweli?

Kaisoma na kuielewa katiba kweli?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,154
Reaction score
137,162
Tokea siku ile yule mwandishi wa habari wa kujitegemea na aliye mwanachama mwenzetu humu, Bw. Pascal Mayala, amwulize rais wetu mtukufu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuhusu suala la mamlaka yake pamoja na katiba yetu, nimebaki najiuliza sana.

Kwanza najiuliza kama huyu rais wetu kweli kaisoma katiba yetu.

Pili, kama kaisoma, kaisoma lini?

Na tatu, kama kaisoma, swali jingine ni je, aliielewa?

Natambua kuwa suala la kusoma na kuelewa ulichokisoma, kwa Watanzania wengi huwa ni mgogoro.

Ukweli huu umejidhihirisha hata humu JF. Ndiyo, watu walio wengi wanajua kusoma lakini wakianza kuchangia mada wakati mwingine mtu unaishia kupatwa na bumbuwazi na kutikisa kichwa.

Sasa huyu mkulu wetu niaje? Kaisoma na kuielewa kweli katiba yetu huyu?
 
Tokea siku ile yule mwandishi wa habari wa kujitegemea na aliye mwanachama mwenzetu humu, Bw. Pascal Mayala, amwulize rais wetu mtukufu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuhusu suala la mamlaka yake pamoja na katiba yetu, nimebaki najiuliza sana.

Kwanza najiuliza kama huyu rais wetu kweli kaisoma katiba yetu.

Pili, kama kaisoma, kaisoma lini?

Na tatu, kama kaisoma, swali jingine ni je, aliielewa?

Natambua kuwa suala la kusoma na kuelewa ulichokisoma, kwa Watanzania wengi huwa ni mgogoro.

Ukweli huu umejidhihirisha hata humu JF. Ndiyo, watu walio wengi wanajua kusoma lakini wakianza kuchangia mada wakati mwingine mtu unaishia kupatwa na bumbuwazi na kutikisa kichwa.

Sasa huyu mkulu wetu niaje? Kaisoma na kuielewa kweli katiba yetu huyu?
Kama ulimsikia vizuri, alisema katika kampeni zake za kugombea urais hakuna sehemu aliyozungumzia katiba.

Kama alivyosema kwenye siasa... (siasa ni mpaka 2020) na kwenye katiba ni hivyo hivyo... katiba ni mpaka 2020.

Kipaumbele chake kwa sasa ni kuinyoosha nchi (kwa kutumbua)

kwake yeye kuinyoosha nchi hakuna uhusiano na katiba. Ni kazi tu!!
 
Alitoa jibu siku zile zile alisema yeye si mtaalamu wa katiba.
akamwambia (Njaa)Mayalla akasome Ibara ya 35 tena akasema kama sijakosea.

Pia alitoa ambalo watu wengi hamtakaa muelewe na nashangaa mnaojiita watalaamu wa kuhoji hamjahoji
Rais alisema anadhani kuna Mhimili mmoja umechimbiwa sana una mizizi iliyochimbiwa sana yaaani kwa ufupi yale malalamiko kuhusu katiba kumpa mamlaka rais ya kila kitu ndio anatumia.
 
Kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti sa mheshimiwa kaisoma ndomana siku ile hakumuelewa Mayalla kauliza nini ni kama alikuwa anampigia kelele wakati yeye alitaka kuwafurahisha walionuna (waandishi/wahariri)waliokuwepo mana kimwili walikuwa nae ila kiakili walikuwa hawapo kabisa mpaka mtu anasahau cha kumuuliza huku Mheshimiwa akitoka ukumbini na kuonekana shujaa kwa kupangua maswali ambayo baadhi yalikuwa ni ugoro
 
Bwana yule hana muda wa kujisomea vitabu. Na hiyo ndio tofauti yake na Nyerere. Nyerere was a Bookish but Bwana huyu ni Emotional.
 
Tokea siku ile yule mwandishi wa habari wa kujitegemea na aliye mwanachama mwenzetu humu, Bw. Pascal Mayala, amwulize rais wetu mtukufu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuhusu suala la mamlaka yake pamoja na katiba yetu, nimebaki najiuliza sana.

Kwanza najiuliza kama huyu rais wetu kweli kaisoma katiba yetu.

Pili, kama kaisoma, kaisoma lini?

Na tatu, kama kaisoma, swali jingine ni je, aliielewa?

Natambua kuwa suala la kusoma na kuelewa ulichokisoma, kwa Watanzania wengi huwa ni mgogoro.

Ukweli huu umejidhihirisha hata humu JF. Ndiyo, watu walio wengi wanajua kusoma lakini wakianza kuchangia mada wakati mwingine mtu unaishia kupatwa na bumbuwazi na kutikisa kichwa.

Sasa huyu mkulu wetu niaje? Kaisoma na kuielewa kweli katiba yetu huyu?
MIMI NIULIZE KASWALI KIDOGO, HIVI NI NINI MAANA YA DOLA NA MKUU WAKE NI NANI /MKUU WA DOLA/?
 
Tokea siku ile yule mwandishi wa habari wa kujitegemea na aliye mwanachama mwenzetu humu, Bw. Pascal Mayala, amwulize rais wetu mtukufu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuhusu suala la mamlaka yake pamoja na katiba yetu, nimebaki najiuliza sana.

Kwanza najiuliza kama huyu rais wetu kweli kaisoma katiba yetu.

Pili, kama kaisoma, kaisoma lini?

Na tatu, kama kaisoma, swali jingine ni je, aliielewa?

Natambua kuwa suala la kusoma na kuelewa ulichokisoma, kwa Watanzania wengi huwa ni mgogoro.

Ukweli huu umejidhihirisha hata humu JF. Ndiyo, watu walio wengi wanajua kusoma lakini wakianza kuchangia mada wakati mwingine mtu unaishia kupatwa na bumbuwazi na kutikisa kichwa.

Sasa huyu mkulu wetu niaje? Kaisoma na kuielewa kweli katiba yetu huyu?

HAJAISOMA hata kama kaisoma hajaielewa na ndio maana hata lile swali alishindwa kulijibu kama katiba isemavyo kizuri alikiri yeye si mwanasheria lakini hajajua ni wajibu wake kufanya kwa kuifuata katiba isemavyo
PALE ALIKIUKA
HUWEZI KATAZA SAFARI KATIKA MHIMILI MWINGINE BILA KUJUA ongoing zao
 
Bwana yule hana muda wa kujisomea vitabu. Na hiyo ndio tofauti yake na Nyerere. Nyerere was a Bookish but Bwana huyu ni Emotional.
nchi haiendeshwi kwa emotional hata baba ndani ya familia huwezi endesha kwa hisia
 
Kama ulimsikia vizuri, alisema katika kampeni zake za kugombea urais hakuna sehemu aliyozungumzia katiba.

Kama alivyosema kwenye siasa... (siasa ni mpaka 2020) na kwenye katiba ni hivyo hivyo... katiba ni mpaka 2020.

Kipaumbele chake kwa sasa ni kuinyoosha nchi (kwa kutumbua)

kwake yeye kuinyoosha nchi hakuna uhusiano na katiba. Ni kazi tu!!
kazi gani ambayo haifuati kanuni na taratibu zilizowekwa??hiyo haiwezi kuwa kazi bali ni ulipuaji maana utakikuka kanuni wakati wa utawala wako, siku ukifika ukomo utawapa tabu wenzio watakao kupokea kijiti maana utawaachia madeni ya kutosha na kesi kila kukicha,aangalie lisije kumrudi maana kile kiti hakina hatimiliki wababe wajeuri waling'olewa na watu dhaifu kabisa
 
Tukikuchagua utaapa kuwa utailinda na kuitetea katiba ya nchi yetu, hata kama huna dini utaapa tu, tutatafuta utaratibu wa kukuapisha kusudi tuje kukushitaki ukikiuka katiba, hayo ni maneno ya nyerere, kwa hiyo tuanze kuhifadhi ushahidi wa kutosha maana anakiuka katiba hadharani
 
Kaisoma sana, na ameielewa vizuri ila JPM katiba si kipaumbele chake. Si katiba ya sasa wala itarajiwayo na uzuri hata WAZIRI WA SHERIA amemtetea kuwa katiba si kipaumbele cha JPM.
 
Siwezi kumjibia kama kaisoma au hajaisoma,
Kama kaisoma anaweza kuwa kaielewa au hajaielewa,
Kama kaielewa, kila mmoja anafahamu hulka ya viongozi wa Afrika,

Hilo liko wazi atafanya lile linalompendeza tu mpende msipende.
 
Ngoja tupate akili maana huwa tunachagua kwa mihemko. Hoja za msingi huwa hazituhusu, sasa ngoja zituhusu vizuri.
 
MIMI NIULIZE KASWALI KIDOGO, HIVI NI NINI MAANA YA DOLA NA MKUU WAKE NI NANI /MKUU WA DOLA/?

Mkuu hawa makanjanja usiwaulize swali gumu hivi, wewe wa ulize pale uwanja wa taifa anaye kuja wa mwisho nani? Baada ya shughuli anaye ondoka wa kwanza nani na kwa nini?

Au Rais akienda Bungeni kwa nini supika anamuandalia gwaride na kutoka nje kumpokea?

Na washawasha?
 
Tokea siku ile yule mwandishi wa habari wa kujitegemea na aliye mwanachama mwenzetu humu, Bw. Pascal Mayala, amwulize rais wetu mtukufu mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuhusu suala la mamlaka yake pamoja na katiba yetu, nimebaki najiuliza sana.

Kwanza najiuliza kama huyu rais wetu kweli kaisoma katiba yetu.

Pili, kama kaisoma, kaisoma lini?

Na tatu, kama kaisoma, swali jingine ni je, aliielewa?

Natambua kuwa suala la kusoma na kuelewa ulichokisoma, kwa Watanzania wengi huwa ni mgogoro.

Ukweli huu umejidhihirisha hata humu JF. Ndiyo, watu walio wengi wanajua kusoma lakini wakianza kuchangia mada wakati mwingine mtu unaishia kupatwa na bumbuwazi na kutikisa kichwa.

Sasa huyu mkulu wetu niaje? Kaisoma na kuielewa kweli katiba yetu huyu?
Mbona ilikuwa rahisi tu ,kujua kama kaisoma au la kwa kuangalia kifungu alichosema na kutwekea hapa wazi kama ni sahihi au la!
 
Back
Top Bottom