Kainerugaba Msemakweli...

Kainerugaba Msemakweli...

Mkeshaji

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,258
Reaction score
1,418
Wakuu salaam,
Huyu mkuu nakumbuka aliibua ushahidi wa ufisadi hasa ule wa kagoda, kitu kilichopelekea yeye kutiwa msukosuko na "watawala" hata kuhojiwa masaa kadhaa na kutakiwa kuwasilisha ushahidi huo kwa DPP. Naye bila kusita alifanya hivyo.

Sasa tangu wakati ule hatujasikia muendelezo wowote wa suala hilo na huyu mkuu Kainerugaba naye hatujamsikia tena. Je kulikoni?
Ushahidi wa Kainerugaba umefanyiwa kazi na wahusika?
Yeye mkuu Kainerugaba yupo wapi kwa sasa?

Note:
Mojawapo ya sababu zilizonifanya kumkumbuka huyu mkuu ni suala la Bw. Nahodha kumtaka Samwel Sitta kupeleka ushahidi kuwa Mh. Mwakyembe alipewa sumu. Nina hakika hata kama atapeleka ushahidi wa uhakika lakini kuna uwezekano mkubwa wa kuutia kapuni ushahidi huo kama ambavyo dpp amefanya katika masakata kibao huko nyuma. Kwani hata Mh. Mwakyembe alishawahi kuwakilisha ushahidi mara kibao wa yeye kutishiwa maisha lakini "watawala" waliishia kukejeli tu.
 
Usikute washamfanyia mambo kama alivyosema jeikei,kwamba yeye sio dicteta angekua dicteta mtu akiongea kitu kinachodharirisha gov wanamchukua kwa ajili ya kumuoji na anapotelea huko huko na hata ukiuliza haupewi jibu
 
Sasa tangu wakati ule hatujasikia muendelezo wowote wa suala hilo na huyu mkuu Kainerugaba naye hatujamsikia tena. Je kulikoni?
Ushahidi wa Kainerugaba umefanyiwa kazi na wahusika?
Yeye mkuu Kainerugaba yupo wapi kwa sasa?


Inawezekana keshanyamzishwa nchi hii wasanii wengi
na ile hoja ni nzito so lazima iangaliwe mara mbilimbili!
 
Kapewa mshiko katuliiiia, anakula bata.
 
Usijekuta wameshababua ngozi kwa misumu yao, CCM nomaaaaaaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom