Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar DC Hapi "Dar ina chakula cha kutosha"

Egnecious

JF-Expert Member
Jul 8, 2015
879
969
KAIMU MKUU WA MKOA DC HAPI *DAR INA CHAKULA CHA KUTOSHA*

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Salum Hapi Pamoja na Kamati ya ulinzi na usalama Kanda maalum Ya Dar es salaam leo amefanya ziara ya kutembelea maghala ya chakula serikali na binafsi pamoja na masoko yaliyopo katika manispaa zote za jiji ili kujiridhisha na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi maeneo ya Wakala wa Hifadhi ya Chakula Kanda ya Kipawa, Ghala la Chakula na Nafaka Gahala la NFRA kanda ya kipawa, Soko la Tandika, Soko la Buguruni, Soko la Tandale na Manzese,kaimu mkuu wa mkoa Hapi amesema ameridhishwa na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kueleza kuwa chakula kipo cha kutosha ikiwemo mchele, mahindi, maharage na vile vyakula vyote vya kilimo cha kijani.

Hivyo hakuna uhaba wa chakula na tetesi za njaa na uhaba wa chakula ni hadithi za kusadikika, alisisitiza Hapi.

Hapi amewataka wakazi wa Dar es Salaam waendelee na shughuli za uzalishaji kwani wafanyabiashara wote wamemuaminishia kuwa chakula kipo na hawana desturi ya kuficha chakula na mfanyabishara atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kosa la uhujumu uchumi na serikali itaendelea kuwaunga mkono.

Pia kuhusu kamata kamata ya magari ya wafanyabishara amemuagiza Kamanda Siro kufuatilia suala na kuzitaka mamlaka zinazofanya hivyo kuacha mara moja, na wanaosambaza taarifa za uhaba wa chakula na njaa serikali itahakikisha inawashughulikia kwani wanaleta taharuki kwa wananchi.

1484832754221.jpg

1484832766532.jpg
 
Miaka yote njaa huwa inasikika Mikoani tu. DSM hatujui neno UKAME lina maana gani lakini mikoani wanalijua haswaaaaa neno UKAME.

DSM tunajua neno JOTO KALI na MVUA tu, hatuna mashamba kwani mashamba yetu yapo mifukoni tu.
Ukame tunaujua sana,ila kwa jicho lingine..nao ni ukame wa pesa mifukoni,wengine sie wahamiaji tunakotoka tuna wategemezi sasa tufikirie kuwanunulia wao chakula bado sisi na familia zetu mjini yaani hapa hakuna mwenye afadhali.
 
KAIMU MKUU WA MKOA DC HAPI *DAR INA CHAKULA CHA KUTOSHA*

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Salum Hapi Pamoja na Kamati ya ulinzi na usalama Kanda maalum Ya Dar es salaam leo amefanya ziara ya kutembelea maghala ya chakula serikali na binafsi pamoja na masoko yaliyopo katika manispaa zote za jiji ili kujiridhisha na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi maeneo ya Wakala wa Hifadhi ya Chakula Kanda ya Kipawa, Ghala la Chakula na Nafaka Gahala la NFRA kanda ya kipawa, Soko la Tandika, Soko la Buguruni, Soko la Tandale na Manzese,kaimu mkuu wa mkoa Hapi amesema ameridhishwa na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kueleza kuwa chakula kipo cha kutosha ikiwemo mchele, mahindi, maharage na vile vyakula vyote vya kilimo cha kijani.

Hivyo hakuna uhaba wa chakula na tetesi za njaa na uhaba wa chakula ni hadithi za kusadikika, alisisitiza Hapi.

Hapi amewataka wakazi wa Dar es Salaam waendelee na shughuli za uzalishaji kwani wafanyabiashara wote wamemuaminishia kuwa chakula kipo na hawana desturi ya kuficha chakula na mfanyabishara atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kosa la uhujumu uchumi na serikali itaendelea kuwaunga mkono.

Pia kuhusu kamata kamata ya magari ya wafanyabishara amemuagiza Kamanda Siro kufuatilia suala na kuzitaka mamlaka zinazofanya hivyo kuacha mara moja, na wanaosambaza taarifa za uhaba wa chakula na njaa serikali itahakikisha inawashughulikia kwani wanaleta taharuki kwa wananchi.

View attachment 461672
View attachment 461673
sawa, but ni sh ngapi?
 
KAIMU MKUU WA MKOA DC HAPI *DAR INA CHAKULA CHA KUTOSHA*

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Salum Hapi Pamoja na Kamati ya ulinzi na usalama Kanda maalum Ya Dar es salaam leo amefanya ziara ya kutembelea maghala ya chakula serikali na binafsi pamoja na masoko yaliyopo katika manispaa zote za jiji ili kujiridhisha na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi maeneo ya Wakala wa Hifadhi ya Chakula Kanda ya Kipawa, Ghala la Chakula na Nafaka Gahala la NFRA kanda ya kipawa, Soko la Tandika, Soko la Buguruni, Soko la Tandale na Manzese,kaimu mkuu wa mkoa Hapi amesema ameridhishwa na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kueleza kuwa chakula kipo cha kutosha ikiwemo mchele, mahindi, maharage na vile vyakula vyote vya kilimo cha kijani.

Hivyo hakuna uhaba wa chakula na tetesi za njaa na uhaba wa chakula ni hadithi za kusadikika, alisisitiza Hapi.

Hapi amewataka wakazi wa Dar es Salaam waendelee na shughuli za uzalishaji kwani wafanyabiashara wote wamemuaminishia kuwa chakula kipo na hawana desturi ya kuficha chakula na mfanyabishara atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kosa la uhujumu uchumi na serikali itaendelea kuwaunga mkono.

Pia kuhusu kamata kamata ya magari ya wafanyabishara amemuagiza Kamanda Siro kufuatilia suala na kuzitaka mamlaka zinazofanya hivyo kuacha mara moja, na wanaosambaza taarifa za uhaba wa chakula na njaa serikali itahakikisha inawashughulikia kwani wanaleta taharuki kwa wananchi.

View attachment 461672
View attachment 461673
Lizaboni weeeee
 
huyu chalii ana taabu kama muonekano wake. Dar chakula kinaliwa na kuisha hakuna watu wenye akiba.Siku kinakata kinakata tuu kama gesi katika mtungi. Dar,inawezwa bebwa na vyakula vya kutoka nje katika masuper market ila raia wenye njaa dara wapo wengi tuu.
 
Tangu lini Dar kukawa na njaa au uhaba wa chakula.Dar kuna kupanda na kushuka kwa bei kutegemea na upatikanaji wa chakula mikoani.Huyu Chalii nae kaanza kuvimbiwa taratibu
 
Ni mwendo wa kumfurahisha mtukufu malaika mkuu wa malaika wote tofauti.na hapo ni demotion
 
KAIMU MKUU WA MKOA DC HAPI *DAR INA CHAKULA CHA KUTOSHA*

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Salum Hapi Pamoja na Kamati ya ulinzi na usalama Kanda maalum Ya Dar es salaam leo amefanya ziara ya kutembelea maghala ya chakula serikali na binafsi pamoja na masoko yaliyopo katika manispaa zote za jiji ili kujiridhisha na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi maeneo ya Wakala wa Hifadhi ya Chakula Kanda ya Kipawa, Ghala la Chakula na Nafaka Gahala la NFRA kanda ya kipawa, Soko la Tandika, Soko la Buguruni, Soko la Tandale na Manzese,kaimu mkuu wa mkoa Hapi amesema ameridhishwa na hali ya chakula kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kueleza kuwa chakula kipo cha kutosha ikiwemo mchele, mahindi, maharage na vile vyakula vyote vya kilimo cha kijani.

Hivyo hakuna uhaba wa chakula na tetesi za njaa na uhaba wa chakula ni hadithi za kusadikika, alisisitiza Hapi.

Hapi amewataka wakazi wa Dar es Salaam waendelee na shughuli za uzalishaji kwani wafanyabiashara wote wamemuaminishia kuwa chakula kipo na hawana desturi ya kuficha chakula na mfanyabishara atakayefanya hivyo atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kosa la uhujumu uchumi na serikali itaendelea kuwaunga mkono.

Pia kuhusu kamata kamata ya magari ya wafanyabishara amemuagiza Kamanda Siro kufuatilia suala na kuzitaka mamlaka zinazofanya hivyo kuacha mara moja, na wanaosambaza taarifa za uhaba wa chakula na njaa serikali itahakikisha inawashughulikia kwani wanaleta taharuki kwa wananchi.

View attachment 461672
View attachment 461673
Tunaomba takwimu
 
Nimeshangaa Sasa Hivi Imeibuka Style Mpya Kila Kiongozi Anakwenda Kutoa Tamko Kwenye Ghara La Chakula Hata La Jirani Huku Tukiaminishwa Njaa Kwisha

Tutakula Ugali Kwa Picha Samaki Sasa
 
huyu atakuwa kaja mjini ukubwani!dar tunakula mahindi mabichi,mboga fresh matunda fresh sasa njaa itoke wapi!aongelee bei
 
Back
Top Bottom