Kahata: Tanzania Premier League, ndiyo ligi inayofuatiliwa na kutazamwa na Wakenya wengi zaidi ya zote

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
MY TAKE; Tanzania inaendelea kudhihirisha ubabe wake katika ukanda huu na Africa nzima.

Baada ya kufanikiwa kuwatawala katika muziki na kuufanya mzingi wa "Bongo feva " kuwa ni "house &National hold item" sasa ni zamu ya ligi ya Tanzania.

Viva Tanzania.

========


Kahata: It was difficult to travel from Kenya and join Simba SC camp

The former Gor Mahia midfielder explained the difficulties he faced while trying to return to Tanzania for the league resumption
Kenya international Francis Kahata has confessed he had a difficult trip to make it to Tanzania on Saturday.

The Harambee Stars midfielder became the second foreign player to link up with the Simba SC camp after Rwanda star Meddie Kagere, who arrived on Monday, ahead of the resumption of the Mainland Premier League on June 13.

Kahata has now explained how difficult it was for him to travel to Dar es Salaam from Nairobi.

“I want to say it was not easy for me to sneak my way to Tanzania because of the tough rules Kenya have put in place owing to the coronavirus pandemic,” Kahata told the club’s official website.

“I have never had such tough times leaving Kenya for Tanzania but I must admit it was not easy, and I also want to thank the club for the letter they sent to the Kenyan authorities, it is the reason I am here, the letter allowed me to gain passage to Dar es Salaam.”

Kahata further said the Tanzanian league was doing much better than the Kenyan Premier League (KPL) since the former have sponsors.

“During my break in Kenya occasioned by Covid-19, I came to realise that the Tanzania league is most followed in Kenya because it is aired live and also broadcasted on radio stations, and we have many Kenyan fans who are happy and following the league,” Kahata continued.

“The difference between the Kenya and Tanzania league is that Tanzania fans always love their teams and turn up in large numbers to support them and also the league has sponsors as compared to Kenya who are struggling since SportPesa walked away.”

In an earlier interview with Goal, the winger stated it was going to be a tough campaign especially after the break which was caused by Covid-19.

“It is a restart; the last 10 matches will not be easy because we will not be at full fitness. Every team will struggle to get their objectives and they will be playing each game as a final,” Kahata told Goal.

“We have to be mentally strong and ensure we continue pushing harder for the title.”

Wekundu wa Msimbazi have been paired with defending champions Azam FC in the FA Cup.

Source: Kahata: It was difficult to travel from Kenya and join Simba SC camp
 
Kenyans wanajua tu Premier League, Laliga na bundesliga. Makali ya Series A iliisha hamu ikapotea.
Wengi ata hawajui anything to deal with Kenyan premier League. Local or continental football is almost becoming stori.
Football is NOTHING.
 
Kenyans wanajua tu Premier League, La liga na bundesliga,
Makali ya Series A iliisha hamu ikapotea. Wengi ata hawajui anything to deal with kenyan premier League,
Local or continental football is almost becoming stori. Football is NOTHING.

Kwahiyo wewe na Kahata nani ambaye anapaswa kujua kuhusu football zaidi?. Yeye mwenzako hiyo ndio ofisi yake inayompa maisha, wewe mpiga kelele utajuaje kwa undani?
 
Kenyans wanajua tu Premier League, Laliga na bundesliga. Makali ya Series A iliisha hamu ikapotea.
Wengi ata hawajui anything to deal with Kenyan premier League. Local or continental football is almost becoming stori.
Football is NOTHING.
Football is nothing??!!??!..hey are you crazy or what...!! There are two kinds of sports,FOOTBALL and the REST
 
Kenyans wanajua tu Premier League, Laliga na bundesliga. Makali ya Series A iliisha hamu ikapotea.
Wengi ata hawajui anything to deal with Kenyan premier League. Local or continental football is almost becoming stori.
Football is NOTHING.
Sio ubora wa ligi tu mpaka mishahara TZ ipo juu, kila mchezeaji wa Kenya ana hamu ya kuchezea Tz lakini sio mchezeaji wa bongo awaze kuchezea Kenya
 
Huwa munasema eti hamupendi kujisifu, hii ni nini kama sio kujisifu?
 
Kwahiyo wewe na Kahata nani ambaye anapaswa kujua kuhusu football zaidi?. Yeye mwenzako hiyo ndio ofisi yake inayompa maisha, wewe mpiga kelele utajuaje kwa undani?
Doubt an average football fan knows anything about Tanzanian football, they don't even follow KPL...
 
Back
Top Bottom