Kagasheki afanya kituko cha mwaka bukoba jana

Kagasheki afanya kituko cha mwaka bukoba jana

mpigadomo

Member
Joined
May 4, 2013
Posts
23
Reaction score
2
Katika hali ya kushangaza jana kagasheki wakati akiwatembelea waanga wa mafuriko wilaya ya bukoba mjini alipofika kata ya hamgembe akawakuta wenye njaa zao wamemsubiri ndipo alipoamua kuwatupia elfu arobaini wananchi wake badala yakuajengea daraja lakutoka kashabo kwenda uswahili kiukweli inasikitisha kuona waziri kama huyo akifanya viroja ktk jimbo lake
 
Mimi niliishasema kwamba siasa za CCM zinawapumbaza wananchi ili waamini kiongozi bora ni yule anayetumia mshahara wake kuwapa huku akiendelea kufanya ufisadi, Kazi za mbunge ni Kusimamia,kushauri,kukemea serikali, Kutunga sheria sasa CCM wamefanikiwa hili jambo kwa kuwapa wananchi mtaala mbovu matokeo yake ni wanafunzi kushindwa kuchambua mambo. Bunge limepitisha bajeti ya maafa ili kufanya mambo hayo ya kufariji nk sasa yeye na wenzake wanazifisadi kisha anawapa eti ili wamuone ni mkarimu siku zake zinahesabika......haya mambo ya kutengeneza movie za kigaidi ili usipingwe bungeni nio dhambi ambayo itammaliza 2015............., Kamtetea ''ndovu lager'' bungeni baadaye kampa mgao sasa anaenda kuwadanganya wananchi...........siku zake zinahesabika................!!!!!!!!!!!!!!
 
Ulizia tuhuma zake za kula hela ya mafuta ya iraque wakati akiwa geneva
 
Ulizia tuhuma zake za kula hela ya mafuta ya iraque wakati akiwa geneva
 
Huenda hizo hela alizitoa kuwapunguzia makali ya athari za mafuriko kwa wakati ule na swala la ujenzi wa daraja litafuata baadae. Sidhani kama angeweza kufanya chochote zaidi ya kuwa pole
 
Katika hali ya kushangaza jana kagasheki wakati akiwatembelea waanga wa mafuriko wilaya ya bukoba mjini alipofika kata ya hamgembe akawakuta wenye njaa zao wamemsubiri ndipo alipoamua kuwatupia elfu arobaini wananchi wake badala yakuajengea daraja lakutoka kashabo kwenda uswahili kiukweli inasikitisha kuona waziri kama huyo akifanya viroja ktk jimbo lake

CCM OYEEEEEEEE!!!!!
Wajinga ndio waliwao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom