enfuka nkulu
Member
- Dec 4, 2012
- 48
- 4
Raisi wa marekani amemwonya rais wa rwanda kwa njia ya simu kutosaidia waasi wa Congo.
source: star tv
source: star tv
Halafu ikawaje?
je Kagame ana jeuri ya kukaidi?
Mambo mengine kuyatetea ni kukosa ustaarabu na utashi.kuna watu wake anawatafuta kule congo ndio maana anang'angá nia kuwasaidia. wahutu walioua watusi wengi bado wapo kuwa wanalo jeshi na huwa wanajaribu kufanya njama kumpindua. yeye hutumia waasi wa congo kuwasambaratisha hao wahutu banyamulenge. usifikiri hana akili, kuna sababu ndio maana anafanya hivyo. wala usimnyoshee kidole kwa kupenda sifa.
amenyea, hajajibu mpaka sasa, chezea Obama weweHalafu ikawaje?
Kagame ni nyoka wa hatari. Ni muuaji na mbaka demokrasia! Watu wanamwona kama mchapa kazi lkn kazi bila kuwapa watu uhuru ni utumwa bado. Angalia alivyomfanya mama Ingabire!!!!!! Huko DRC ndo usiseme......