wake zenu wakifumaniwa mtasema kagame kawatuma dmi. Kila leo mnamsingizia kagame mambo ambayo hata hayamhusu. Hivi inaingia akilini kweli kwa kagame anayefanya kazi kubwa kuijenga nchi yake, kuamuru uchomwaji moto holela eti ili awasingizie fdlr?? C'mon y'all, you cant be that naive.
Wengine mnasema eti jumuiya ya kimataifa imempa miezi 6 kagame kuruhusu fdlr wote warejee rwanda na kufanya siasa. Ha ha ha. Who cares for the international community?? Where were they when a million people got killed senselessly? Hakuna wa kumwamuru kagame kufanya lolote katika utetezi wa nchi anayoiongoza. Besides, we all know that the un, hrw and other saboteur organizations are in cahoots with fdlr. The forces of evil will never win when faced with good. Endeleeni kuota tu. Kwanza nashangaa kuona watanzania wenzangu mkilishikia bango suala la kumuondoa kagame. Ni chuki dhidi ya tutsi au?? Aibu, aibu.
hii ni babkubwa.dont belittling the competency of tanzania when it comes to shaping the politics of her neighbours.hapa piga ua kuna influence ya TISS.
mtusi wewe unajiita mtanzania wapi na wapi na bado tutaendelea kumbana huyo dikteta
Very bas strategies indeed. I think, id i was Kagame,i wouldnt allow hutus militia back to the country easily. The worse situations ni kwamba even those who committed crimes are now old or dead. Hawa wanaoweka silaha chini ni watoto ambao bado chuki ipo kwao toka kwa wazazi wao.
Kingine ni kwamba pamoja kuwa na challenges nyingi kama za kijamii na huduma pale watakapoanza kurudi rwanda bado ni ndogo. Hakuna kazi na kipato ni kidogo mno. Hapo ndio riots zitatokea na mambo mengi tutasikia.
And of course nchi wahisani wataingiza spies wengi kupitia huo mgongo.
Kikwete was right kumshauri Kagame to talk na FDLR .Hapa Kagame alikuwa na uwezo wa kucontain hii situation much easily kuliko sasa.
All in all,nisingependa kutaka au kuona vita wala kuona Kagame anaishia pabaya. Jamaa anahitaki kuangalia mbali na kusikiliza uhauri wa watu wake.
FDLR nao wasifikiri RWanda ni yao tu. Hizo ideologies zimepitwa na wakti.
The king.
kikwete ndiye anaangalia karibu,pk kaangalia mbali,huwezi sema Genocide never again halafu watu waliotenda hiyo Genocide unawapa fursa yakuja ku negotiate na waathiriwa kama vile hakuna lolote walilo lifanya wala hakuna kutubu au kuomba msamaha? serikali ya rwanda iliishatoa msamaha kwa yeyote kutoka FDLR atakaye rudi kwa hiari na kuachana na ideology ya chuki kwa watusi atapokelewa vizuri sana na kuishi salama na wanyarwanda wengine lakini siyo kuja ili watawale rwanda hilo haliwezekani,litawezekana tu wakifuata taratibu zilizowekwa na serikali ya rwanda,bila hivyo itakua ku support waliyo yafanya,hebu fikiri jamaa kaua familia yako na akakukimbia baadaye majirani wanamleta na kukulazimisha kuishi naye na kukuongoza bila hiari yako na wala hajaomba msamaha na kutubu dhambi zake mbele yako,hiyo inawezekana kweli?tatizo waafrika hawaamini kama mtusi 10% anaweza ongoza rwanda,kwa imani yenu mmeweka ukabila mbele,nikiwa na maana kwamba majority in terms of kabila lazima aongoze,lakini unachotaka kuelewa ni kwamba wanyarwanda waisha vuka hayo mawazo sasa wao bila kujali kabila wanahitaji kiongozi anaye waletea maendeleo,kwani ukabila hakuna kizuri chake.
kikwete ndiye anaangalia karibu,pk kaangalia mbali,huwezi sema Genocide never again halafu watu waliotenda hiyo Genocide unawapa fursa yakuja ku negotiate na waathiriwa kama vile hakuna lolote walilo lifanya wala hakuna kutubu au kuomba msamaha? serikali ya rwanda iliishatoa msamaha kwa yeyote kutoka FDLR atakaye rudi kwa hiari na kuachana na ideology ya chuki kwa watusi atapokelewa vizuri sana na kuishi salama na wanyarwanda wengine lakini siyo kuja ili watawale rwanda hilo haliwezekani,litawezekana tu wakifuata taratibu zilizowekwa na serikali ya rwanda,bila hivyo itakua ku support waliyo yafanya,hebu fikiri jamaa kaua familia yako na akakukimbia baadaye majirani wanamleta na kukulazimisha kuishi naye na kukuongoza bila hiari yako na wala hajaomba msamaha na kutubu dhambi zake mbele yako,hiyo inawezekana kweli?tatizo waafrika hawaamini kama mtusi 10% anaweza ongoza rwanda,kwa imani yenu mmeweka ukabila mbele,nikiwa na maana kwamba majority in terms of kabila lazima aongoze,lakini unachotaka kuelewa ni kwamba wanyarwanda waisha vuka hayo mawazo sasa wao bila kujali kabila wanahitaji kiongozi anaye waletea maendeleo,kwani ukabila hakuna kizuri chake.
bora muliite jukwaa la E.AFRICA tujue moja.
ahahahahhaha..... kwani tanzania hakuna watusi watanzania? au tanzania wote ni wahutu?
kikwete ndiye anaangalia karibu,pk kaangalia mbali,huwezi sema Genocide never again halafu watu waliotenda hiyo Genocide unawapa fursa yakuja ku negotiate na waathiriwa kama vile hakuna lolote walilo lifanya wala hakuna kutubu au kuomba msamaha? serikali ya rwanda iliishatoa msamaha kwa yeyote kutoka FDLR atakaye rudi kwa hiari na kuachana na ideology ya chuki kwa watusi atapokelewa vizuri sana na kuishi salama na wanyarwanda wengine lakini siyo kuja ili watawale rwanda hilo haliwezekani,litawezekana tu wakifuata taratibu zilizowekwa na serikali ya rwanda,bila hivyo itakua ku support waliyo yafanya,hebu fikiri jamaa kaua familia yako na akakukimbia baadaye majirani wanamleta na kukulazimisha kuishi naye na kukuongoza bila hiari yako na wala hajaomba msamaha na kutubu dhambi zake mbele yako,hiyo inawezekana kweli?tatizo waafrika hawaamini kama mtusi 10% anaweza ongoza rwanda,kwa imani yenu mmeweka ukabila mbele,nikiwa na maana kwamba majority in terms of kabila lazima aongoze,lakini unachotaka kuelewa ni kwamba wanyarwanda waisha vuka hayo mawazo sasa wao bila kujali kabila wanahitaji kiongozi anaye waletea maendeleo,kwani ukabila hakuna kizuri chake.
Ona mbali ndugu Mandela aliunda Tume ya Maridhiano na Makaburu na aliwasamehe we unaishi Dunia ipi?
Wake zenu wakifumaniwa mtasema Kagame kawatuma DMI. Kila leo mnamsingizia Kagame mambo ambayo hata hayamhusu. Hivi inaingia akilini kweli kwa Kagame anayefanya kazi kubwa kuijenga nchi yake, kuamuru uchomwaji moto holela eti ili awasingizie FDLR?? C'mon y'all, you cant be that naive.
Wengine mnasema eti jumuiya ya kimataifa imempa miezi 6 Kagame kuruhusu fdlr wote warejee Rwanda na kufanya siasa. Ha ha ha. Who cares for the international community?? Where were they when a million people got killed senselessly? Hakuna wa kumwamuru Kagame kufanya lolote katika utetezi wa nchi anayoiongoza. Besides, we all know that the UN, HRW and other saboteur organizations are in cahoots with fdlr. The forces of evil will never win when faced with good. Endeleeni kuota tu. Kwanza nashangaa kuona watanzania wenzangu mkilishikia bango suala la kumuondoa Kagame. Ni chuki dhidi ya Tutsi au?? Aibu, aibu.
Huo rais wa Ruwanda ni mchapa kazi kweli oneni......hapo
Rwandans expelled from Tanzania get new promise of life back home
Expelled Rwandans crossing back from Tanzania / Image via wordpress.com
Jul 22, 2014 KIGALI, Rwanda - Ms Odette Bayagambe, 39, had always considered Tanzania her home, until the afternoon of August 9, 2013 when Tanzanian security operatives attacked her home and forced her to leave the country.
"I had just taken goats to graze," she says. "As I stood in the middle of our banana plantation, four Tanzanian soldiers came to our home and shouted at me, 'Rudi Kwenu' [Kiswahili phrase meaning 'Go back home']".
She was forced out of Tanzania, leaving behind 30 goats, land plots, a three hectares cassava plantation, a banana plantation, her house and all other properties.
On July 19, 2013, Tanzania's President Jakaya Kikwete ordered all "illegal immigrants" be expelled after two weeks ultimatum.
More than 14,000 Rwandans were kicked out indefinitely. They had no opportunity to pack their properties or sell them. The victims say Tanzanian security operatives stormed villages, smashed houses, burnt some of them and looted properties. Many were assaulted. The Tanzanian government has denied such acts ever happened.
Upon arrival at the border along the east, the Rwandan government settled them in Kiyanzi transit camp, Eastern Rwanda, in makeshift shelters.
About 9,000 families were helped locate their ancestral relatives in different parts.
"We also provided them with a three months' food package; beans, rice, maize, salt, cooking oil and boxes of compact rice for the children and the elderly," says Seraphine Mukantabana, Rwanda's Minister for Disaster Management and Refugee Affairs (MIDIMAR).
Over 5,000 families remained in the camp, including Ms Bayagambe's. And the government is building new homes for them.
For example, on June 28, at a community gathering, 40 families, including Ms Bayagambe's, had not prepared themselves for a big surprise - a fully-furnished house. Each house costs Rwf12 million (about 20,000USD). An average Rwandan lives in a house that costs much less.
Rwanda's President Paul Kagame pledged Rwf480 million (about 700,000USD) to help build fully furnished houses, for ten families.
For those resettled, each district has a long-term support package. The returnees are allocated start-up capital of Rwf100, 000 (about 150$) to help run small business. Community members have also donated food to the families.
Father of two Mr Dismas Habimana, 47, is still angry. "I had 120 cows, and I left all of them in Tanzania", he says, from his new home at Ruhashya sector, Huye district, a two hours' drive south from the capital Kigali.
Ona mbali ndugu Mandela aliunda Tume ya Maridhiano na Makaburu na aliwasamehe we unaishi Dunia ipi?
WaTZ.... ni maarufu kwa kubisha... TZ tumekubuhu na ulalamishi hadi imetudhuru na kutuduwazaa....!! very sorry mkuu1. kwanza hujaweka source ya habari:A S wink:
2. Ni kinyume cha sheria kumnyanganya mtu uraia wake. I have not heard a single case ambayo hawa wanyarwanda wana-argue kuwa actually wao ni legal citizens of Tanzania kwenye court yoyote ile. Vile vile serikali ya Rwanda imewapokea bila kubisha juu ya uraia wao. The FACT is these RWANDESE were illegal immigrants, lakini mwandishi wa hii habari yako iliyotoka kusikojulikana anaweka inverted commas i.e "illegal immigrants" kana kwamba kuna utata hapo, anataka kumaanisha nini?
3. From this piece, tunaona serikali ya Rwanda iliwapa hawa watu fully-furnished homes costing 20,000 USD each. The question becomes why did these people preferred to live in Tanzania illegally in the first place? sounds like PR to me.
..wakati mwingine inabidi tuwe responsible kwa makosa yetu wenyewe.
..international community ilihangaika kuwaweka pamoja kupitia mazungumzo ya amani ya Arusha.
..tatizo kila upande, Wahutu na Watutsi, ulitaka kuwazidi ujanja upande mwingine, na matokeo yake ni genocide.
..hiyo international community haikuzuia Wahutu kuua Watutsi in 1994, na vilevile haikuzuia Watutsi kuua Wahutu na Wacongamani ndani ya Congo frm 1999 mpaka leo.
..international community vilevile haikuzuia RPF/RDF kupora rasilimali za Congo kwa miongo kadhaa sasa.
cc jMali, MUKAMASIMBA
RDF/RPF unavyoiita wewe haikufanya mauaji wala uporaji kongo,hayo yote yalikua muendelezo wa failure of international community,hawakuzuia mauaji ya watusi rwanda na wakaendelea kuwatunza na ku wasuport hao materahamwe ndani ya congo na kuwa miminia silaha na mafunzo ya kuishambulia rwanda,na hiyo ndio ilikua sababu ya rwanda kuingia congo kwani ilikua tishio kwa rwanda,nafikiri kitu walichofanya ilikua proactive mesures wasingeweza subiri mpaka jamaa waingie ndani ya rwanda,na hiyo naipa pongezi RDF kwa ujasiri na umahiri wao wakuweza kuwasambaratisha hao magaidi na vibaraka wao kwa ajiri ya amani ya rwanda,tatizo lako jokakuu unaangalia upande mmoja tu,kama ingekua wewe ni rais wa rwanda na unauhakika kwamba kunana mikakati inaendelea sehemu fulani dhidi yako,je utakaa na kusubiri mpaka wakufikie au utaamua kuwa neutralize kabla ya maafa? mambo ya mali lile nishamba la babu kilamtu anachota hata hao wazungu ndiyo kazi yao huko,amerika akishambulia sehemu lazima a compensate alivyotumia,congo ukiwa na pesa zako utafanya biashara yoyote madini yako njenje,hata wewe kama unataka unaweza kwenda kwani TPDF wako huko na niwakati wao wa kupora sasa.
WaTZ.... ni maarufu kwa kubisha... TZ tumekubuhu na ulalamishi hadi imetudhuru na kutuduwazaa....!! very sorry mkuu
Ma Boomu ya Mbagala x 2 hadi leo dizastazz , Mafuriko nobody cares !! Wahanga wa majangaa hakuna wa kuwatembelea Least to do !!
THE SOURCES:- VOA,BBC and eTN global News !!
Siye tuendelee kubisha na kulalalam...na WATAWALA wetu ndiyo mtaji wao !! siye tubishe na Mafisadi watimize dhamira zao !!
Hatukubali kuwa kanchi kadaogo kametushinda kiuongozii!!