Kafululila kuhamia CUF?

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
75,630
Reaction score
107,059
Habari zisizodhibitika zinasema Kafulila yuko mbioni kuhamia CUF! Je huu ni mwanzo wa ku-poach members kuelekea 2010?
 
Siyo mbaya ila CUF watafakari sana juu ya mtu huyu. Kama alikuwa CCM ndani ya chadema sidhani kama ataacha kuwa CCM ndani ya CUF.
Pia tukumbuke CHADEMA walimchukua Lwakatare!
 
Aende kwa amani, akumbuke kuwashauri CUF kwamba wao CUF ni kitu kimoja na CCM hawana jipya lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…