Yaani hawa wabunge ni zero sana jana nimemsikia mama mmoja akililia hospitali ya Dodoma first class rooms ziongezwe, ili wenye pesa walale kule.
Baadala ya kung`ang`ania huduma bora na usafi kwa hospital nzima.
Jamani nani hataki kulala pasafi na kupata huduma bora?
Hawa ndio wawakilishi wetu bungeni.
Hawana maaana kabisa Wanatuona third class sisi tunao waweka mjengoni
Wapumbavu hawa wametungeleja, yaani nilikuwa nafurahi alivyokuwa anawachamba kinoma mpaka mama mmoja alimanusura alie. Safi sana kafulila yaani mwaka huu mpaka wavae bukta jezi pumbavu zao!
a friend of my enemy is my enemy too
tap tap tap tap tap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.