Kafulila live bungeni

PhD

JF-Expert Member
Jul 15, 2009
4,599
3,671
anawachana wabunge na mawaziri kwa kutibiwa hospitali nzuri huku wananchi wakiwa hoiii
 
anawachana wabunge na mawaziri kwa kutibiwa hospitali nzuri huku wananchi wakiwa hoiii

Yaani hawa wabunge ni zero sana jana nimemsikia mama mmoja akililia hospitali ya Dodoma first class rooms ziongezwe, ili wenye pesa walale kule.
Baadala ya kung`ang`ania huduma bora na usafi kwa hospital nzima.

Jamani nani hataki kulala pasafi na kupata huduma bora?
Hawa ndio wawakilishi wetu bungeni.
Hawana maaana kabisa Wanatuona third class sisi tunao waweka mjengoni
 
Hiyo ni kawaida kwa viongozi hasa watanzania. Waulize watoto wao wanasoma wapi? Naamini hakuna hata mmoja ambaye yuko shule za kata
 
sitta naye kaingilia kati kumbe ndo kazidisha moto umewaka mwenyekiti kaamua kukimbia na kuhairisha bunge mambo mazito sana
 
Wapumbavu hawa wametungeleja, yaani nilikuwa nafurahi alivyokuwa anawachamba kinoma mpaka mama mmoja alimanusura alie. Safi sana kafulila yaani mwaka huu mpaka wavae bukta jezi pumbavu zao!

a friend of my enemy is my enemy too
tap tap tap tap tap
 
Back
Top Bottom