..sasa hii move ya kina Kafulila imewasaidia vipi wapinzani?
..au lile tamko la Mtatiro wa CUF akiwashutumu na kuwatukana CDM linawapa picha gani?
..hivi mnategemea kuchaguliwa kwa Mrema na Cheyo kuongoza zile kamati kutaliletea taifa hili tija yoyote?
..kwa mtizamo wangu kura za wananchi ndizo zilizowafikisha Chadema ktk nafasi waliyonayo bungeni.
..anayehujumu na kuwachimba Chadema anakuwa amekosa heshima kwa wapiga kura walioipa Chadema ushindi wa pili bungeni.
..ifike mahali siasa ziwe za HAKI na UKWELI, siyo ujanja-ujanja[tactics], fitina, na hujuma.