Kafulila afichua wizi wa Bilioni 200 za Tanesco BOT

Wimbo wao ushazoeleka! Ila Watanzania wenyewe ndio wanabariki uozo huu kwa kupewa kanga na pakiti ya chumvi!
Tuchukue hatua mimi na wewe kununua dawa kwajili ya kuangamiza ukoo wa panya.
 
Si kweli. Mbona mimi nashindwa kuvuna kila ninapojaribu? Kote wenye shamba wamefunga!

ulichelewa mkuu walio wahi wanaisha maisha ya kifahari.....gape la mwenye nacho na asie nacho ina zidi kuongezeka kwa kasi
 
Hoja ya Kafulila haina mashiko

Pesa imetoka BOT kwa kufuata taratibu na wizara ya fedha inajua na ndio ime confirm malipo yafanyike.

Maswala hayo yapo mahakamani na jaji ametoa amri.

Unajua kazi na utendaji kazi wa
~HAZINA
~BOT
~WIZARA YA FEDHA

Then to STK,SU, SM!

Ukinijibu nitakurudia, sasa sio wakati wa siasa ni ukweli tuu!!!
 

Bunge halina uwezo wa kufanya uchunguzi wowote wa kitaalam.

Ningeunga mkono kama wangeshauri iteuliwe Auditing firm yenye uzoefu ikaangalia kama kuna makosa.

Vinginevyo hao wanasiasa ni kutafuta sifa tu hamna lolote wala hawana nia njema na nchi!!
 
Latina maisha jua ukificha mahovu jua ipo siku yatajulikana tu hata kama yatachukuwa muda ila jua yatajulikana
 
Hizo ni zilizoibwa sasa hivi..!!
Vipi miaka hiyo kipindi hamna anayeweza kutoboa siri kama hivi zilichotwa ngapi??

*Ndo ile nchi yangu*
 
Tatizo watanzania wengi ni washabiki wa siasa na c wapenzi wa maendeleo ndio maana hata jambo serious wao huponda tu
 
Tatizo watanzania wengi ni washabiki wa siasa na c wapenzi wa maendeleo ndio maana hata jambo serious wao huponda tu
Na tabia hiyo ndio inayokwamisha wachache wanaojitoa kupambana na ufisadi. Hakuna nchi imewahi kuendelea kwa kuendekeza mambo haya.
Ila mkuu ona pamoja na wizi huu wa mabilioni, deni la taifa nalo linapaa utafikiri dege la kijeshi. Kwa hiyo hela zinapigwa kotekote ndani na za nje. Ngoja tuje tuone 2016 tutakuwa na hali gani nchi hii.
 
Yaani sijui ni lini ss tutajikwamua ktk mawazo mgando yaani mawazo ya 1980s ambayo inaonekana vijana wengi wamekuwa nayo
 


Hapo ndipo tunapokosea, kila kitu Mh. baba Riz.
Ndio Ninyi mtt akikosea ni mama.
 
Mmh kafulila? Hujui kama huyo dogo ubongo wake umekreki, muda vinapanda muda. Vinashuka.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Data and facts ni muhimu sana ktk mijadala yenye kuteka hisia za wananchi... Mkuu Mdhalendo funguka zaidi kwa manufaa ya wengi wetu...
 
 
Ufisadi ni sehemu ya utendaji wa serikali, ikisimamiwa na bunge dhaifu, na upuuzi wa ccm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…