Makamanda wa chadema mnasubiriwa sana hapa Dar,pamoja na hivyo watu wengi wanaulizia kadi za uanachama.Mtueleze mnakuja lini Dar na pia kadi zitapatikana?Wakati wa ukombozi ni sasa.Tatizo la SISIMU wasidhani bado ni mfumo wa vyama vingi na vitisho ndivyo husaidia.Cha msingi kuondoa kero za walalahoi na umaskini uliokithiri.Tanzania inaongoza kwa maziwa,bahari,mito,makaa ya mawe,gase,upepo,urenium halafu bado kuna mgao wa umeme miaka 50 baada ya uhuru?Kuna ardhi kubwa ya kutosha,mabonde,nguvu kazi,bado tunalalamika mvua hakuna,.Tunaongoza kwa mbuga za wanyama,Mlima mrefu afrika,Ziwa lenye kina kirefu duniani,Ziwa kubwa la pili kwa ukubwa,bado tunashindwa kwenye utalii.Tanzania ina madini mengi sana ulanga,bati,tanzanite,almasi,dhahabu bado tunashindwa?Misitu ndio usiseme,Mifungo tupo kwnye top 10.Machozi yzmenitoka imebidi nikatishe hii post yangu,mnisamehe jamni nina machungu sana