GE2025 Kadege: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Iko vizuri, atakayeshinda atatangazwa

GE2025 Kadege: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Iko vizuri, atakayeshinda atatangazwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Twalibu Kadege - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha UPDP , Anasema kwa uwazi kuwa: Tume huru ya taifa ya uchaguzi iko vizuri sana na atakayeshinda atatangazwa.


 
Ndio Kwanza nakiskia Leo hichi chama alafu ukute ni cha zamani kuliko chauma
 
Wakishashiba kande wanapumua tu kwa nyuma waachwe wana uhuru wa kuropoka
 
VIZURI SANA,NA KILA MWENYE NIA YA KUTAKA KUPIGA KURA HIYO OKTOBA APEWE HAKI YAKE YA KIKATIBA,NA MWENYE NIA YA KUGOMEA KUPIGA KURA NAE AACHWE ASILAZIMISHWE..NDIYO MAANA HALISI YA DEMOKRASIA
 
Twalibu Kadege - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha UPDP , Anasema kwa uwazi kuwa: Tume huru ya taifa ya uchaguzi iko vizuri sana na atakayeshinda atatangazwa.


Umri wote huu lakini akili ya kuchambua mambi ni shida tupu.. Ni utapia mulo wa mawazo au ni nini?
 
Asifikiri watu wote ni wajinga kama alivyo yeye.
 
Back
Top Bottom