DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha United People Democratic Party (UPDP), Twalib Kadege, amewasili katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi majira ya saa 7:53 mchana, akiwa ameambatana na mgombea mwenza wake kwa ajili ya kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hizo, Kadege amesema wamejipanga kuhakikisha sekta ya afya na kilimo zinapewa kipaumbele endapo watapewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi.
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hizo, Kadege amesema wamejipanga kuhakikisha sekta ya afya na kilimo zinapewa kipaumbele endapo watapewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi.