Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Jana jioni nilibahatika kukutana na Rafiki yangu wa karibu ambaye ni kada wa siku nyingi wa CCM na pia ni askari jeshi mstaafu aliyepigana vita vya kagera akiwa Brigedi ya Mayunga a.k.a mti mkavu.
Alikuwepo nyumbani kwangu tulipata chakula cha usiku a.k.a supper, wakati tunaangalia luninga kusikiliza taarifa ya habari za kitaifa alimuona kada mwenzake Kinana akimwaga sera za UMWAGAJI DAMU.Rafiki yangu huyu alikasilika sana akasema" Hivi CCM ndiyo imeishiwa hivi? hii si CCM ninayoijua mimi, sasa naanza kuamini kuwa mwaka huu hatushindi, labda tuibe sana kura, maana hata mitaani nimejaribu kupitia vijiweni nijaribu kuweka mada ya kutetea ccm napata watu 2 kati ya watu 10, yaanni rafiki yangu CCM hatuna asilimia 30 ya ushindi kama mambo yatakwenda sawa.Ila hatuko tayari kushindwa"
Rafiki yangu huyo anapinga sana kitendo cha kutumia mtaji wa kumwaga damu, anakumbuka walivyoteseka kuikomboa Kagera toka mikono ya Nduli Idd Amin Dada, anasema anawaonea huruma watanzania, ila anapinga kuwa "sijawahi kumsikia SLAA akiongelea kumwaga damu ila sisi inaonekana hoja za kuwashawishi waajiri wetu(wapiga kura ) hatuna dalili ya kuanguka iko wazi sijui wenzangu CCM kama wameiona"
Hayo ndiyo tuliyoongea na huyo rafiki yangu kada wa CCM,
Fundisho:
Kutokana na mazungumzo yetu nilichojifunza ni kwamba, chadema wanayo nafasi ya kuchukua dola wantakiwa waweke mikakati ya kulinda kura hasa tukizingatia statement ya colleague wangu ya kwamba"sasa naanza kuamini kuwa mwaka huu hatushindi, labda tuibe sana kura,"
Alikuwepo nyumbani kwangu tulipata chakula cha usiku a.k.a supper, wakati tunaangalia luninga kusikiliza taarifa ya habari za kitaifa alimuona kada mwenzake Kinana akimwaga sera za UMWAGAJI DAMU.Rafiki yangu huyu alikasilika sana akasema" Hivi CCM ndiyo imeishiwa hivi? hii si CCM ninayoijua mimi, sasa naanza kuamini kuwa mwaka huu hatushindi, labda tuibe sana kura, maana hata mitaani nimejaribu kupitia vijiweni nijaribu kuweka mada ya kutetea ccm napata watu 2 kati ya watu 10, yaanni rafiki yangu CCM hatuna asilimia 30 ya ushindi kama mambo yatakwenda sawa.Ila hatuko tayari kushindwa"
Rafiki yangu huyo anapinga sana kitendo cha kutumia mtaji wa kumwaga damu, anakumbuka walivyoteseka kuikomboa Kagera toka mikono ya Nduli Idd Amin Dada, anasema anawaonea huruma watanzania, ila anapinga kuwa "sijawahi kumsikia SLAA akiongelea kumwaga damu ila sisi inaonekana hoja za kuwashawishi waajiri wetu(wapiga kura ) hatuna dalili ya kuanguka iko wazi sijui wenzangu CCM kama wameiona"
Hayo ndiyo tuliyoongea na huyo rafiki yangu kada wa CCM,
Fundisho:
Kutokana na mazungumzo yetu nilichojifunza ni kwamba, chadema wanayo nafasi ya kuchukua dola wantakiwa waweke mikakati ya kulinda kura hasa tukizingatia statement ya colleague wangu ya kwamba"sasa naanza kuamini kuwa mwaka huu hatushindi, labda tuibe sana kura,"