Naomba kujuzwa, huwa naona kitu kama kaburi ndani ya bustani iliyo pembezoni mwa Samora Avenue karibu na JMall/Harbour View, hilo kaburi linatunzwa vizuri sana. Kama ni kaburi kweli, je ni kaburi la nani?
Naomba kujuzwa, huwa naona kitu kama kaburi ndani ya bustani iliyo pembezoni mwa Samora Avenue karibu na JMall/Harbour View, hilo kaburi linatunzwa vizuri sana. Kama ni kaburi kweli, je ni kaburi la nani?
Jina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko
Jina lake aliitwa "mzee daresalama"kipi hujaelewa?tatizo lenu nyie wakuja.hamju historia ya hapa.hata kaburi la mzee mwenge hamjui liko wapi.hata marehemu mzee shekilango hamumjui.ahh rudini kwenu bara huko