CDM ni chama cha kisiasa cha hiari, wanachama wake wamejiwekea sheria na miiko ambayo anayetaka kujiunga nacho ni muhimu azitekeleze kinyume chake itakua vurugu ,chama dola kipo vile kikitegemea zaidi dola to deal na watu kama covid 19 MPs, ndio maana police na Tiss heshima yao imepotea mno maana badala ya kulinda nchi wao wanalinda zaidi Lumumba,Mdee &others wamefukuzwa uanachama kwa vikao halali vya CDM, push back ya Mdee&others inatoka zaidi nje ya CDM kuliko within,hii ni very strange