johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,747
- 139,531
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ni Wasaidizi wake wanaelewa fika ni Kwanini Halima Mdee na wenzake wako bungeni ijapokuwa majina yao hayakupitishwa na CC ya chama hicho chenye makao makuu yake Ufipa St
Itoshe tu kusema CHADEMA pokeeni ruzuku
CHADEMA thibitisheni kuzijaza hizo nafasi zitakazoachwa wazi
Kisha, mtanishukuru siku moja!
Itoshe tu kusema CHADEMA pokeeni ruzuku
CHADEMA thibitisheni kuzijaza hizo nafasi zitakazoachwa wazi
Kisha, mtanishukuru siku moja!