Mwanamke yeyote akishazaa hata km ana miaka 18 wewe una 40 lazima anakuzidi akili tu so usimjaribu kuoa alikwishazalishwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyanyasaji hao, hawana lolote.Sidhani kama kuna ukweli hapo na hata kama upo ni kwa asilimia ndogo.
Hivyo single mother hawana haki ya kuolewa. Mmeshazowea kuwapa hila, hayo mnayoyasema yanategemea na akili ya mtu.
Single mother??Sidhani kama kuna ukweli hapo na hata kama upo ni kwa asilimia ndogo.
Hivyo single mother hawana haki ya kuolewa. Mmeshazowea kuwapa hila, hayo mnayoyasema yanategemea na akili ya mtu.
Kweli mkuu?Wanyanyasaji hao, hawana lolote.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Wana shida gani?
Shida yao unakuwa umeoa mke wa mtu akitaka papuchi tuuu anampelekeaaa kirahisii kabisaaWana shida gani?
Usimkufur Mungu we bidada, wanawake mna roho mbaya kwa watoto sio wenu, hamna busaraTatizo wenzetu single mother uwa sumu Ila single father ni asali na Wala hatuwabagui .
Mmh. Sidhani ila huenda ikawa pia mkuu.Shida yao unakuwa umeoa mke wa mtu akitaka papuchi tuuu anampelekeaaa kirahisii kabisaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamnyanyasa nani mkuu. Watoto wao au waume wanaowaoa?Wanyanyasaji hao, hawana lolote.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Jinsia ya kike mkuuWanamnyanyasa nani mkuu. Watoto wao au waume wanaowaoa?