Kabla ya kuoa kwanza tuchunguze

Kabla ya kuoa kwanza tuchunguze

qaxemvule

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
231
Reaction score
120
Baadhi ya watu husema ukioa mwanamke aliokwisha zaa na mwanaume mwengine basi ujue umeoa mwanake wa kidume aliezaa nae kwa sababu akimtaka kikwazo hakuna sababu ni mtoto
Je: haya ni sahihi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
the same applies kwa mwanaume mwenye motto

akina dada ambao hajaolewa walichunguze hili sana maanake ni sawa na kuolewa na mume wa mtu.
 
Bibi yangu aliwahi niambia "Wazazi huwa hawaachani" hivyo unapooa mwanamke mwenye mtoto hakikisha kwanza baba wa mtoto yuko wapi!
Ukishahakikisha utapunguza nini boss ?

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
the same applies kwa mwanaume mwenye motto

akina dada ambao hajaolewa walichunguze hili sana maanake ni sawa na kuolewa na mume wa mtu.
Tatizo ni kwamba wanaume wanaficha jamani... Anakukuta binti kigoli unamwambia mie staki chochote hadi uende nyumbani... Anakubali na katika kufahamiana anakuambia ni bikra km wewe!!!!!



Here ndoa ina mwezi anakuja kijana wa miaka mwili

Sababu ya kuficha ukweli kuwa kuna mtoto ...oooh niliona hautonipenda nknk!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama kuna ukweli hapo na hata kama upo ni kwa asilimia ndogo.

Hivyo single mother hawana haki ya kuolewa. Mmeshazowea kuwapa hila, hayo mnayoyasema yanategemea na akili ya mtu.
 
Back
Top Bottom