Kabla ya kumkashifu WARIOBA,jiulize haya

Kabla ya kumkashifu WARIOBA,jiulize haya

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Wengi wanatoa hoja za kumkashifu mh.jaji warioba aliyeongoza tume ya kukusanya maoni ya watanzania kuhusu mabadiliko ya katiba na kuiwasilisha bungeni ambayo sasa inaendelea kujadiliwa sasa.
Nikiangalia hasa kipengele kinachohusu muundo wa serikali ya muungano ambao wengi wamependekeza tatu wengine mbili hasa ccm kudai mbili inafedhehesha kwa unafiki mkubwq unaoendelea ukifanywa na makada wengi wa ccm na wastaafu na wengine kwa sababu zao binafsi.
kabla ya kumshambulia Jaji Warioba naomba tujiulize haya:

-Hiyo tume ni ya jaji au ya rais?
-Wanajadili mawazo ya jaji warioba au ya watanzania?

Rais na makada wa ccm wanasema kuhusu muundo wa muungano ni maoni ya warioba na tume yake inawezekana lakini nauona unafiki katika hili nao ni huu:
1.kama ni mawazo ya jaji warioba na si ya watanzania basi ccm na wanaunga mkono hilo ni wanafiki maana tumewatuma kujadili mawazo ya watanzania si ya kaji warioba.

2.kwa sababu jaji amedanganya na wanaushahidi wasitishe bunge la katiba wamshtaki kwa kutoleta mawazo na maoni ya watanzania bali ya kwake na wapambe wake,kama wanaendelea kupiga kelele bila kumwajibisha ni unafiki.

3.Hii ni tume ya rais kama imedanganya asitishe mjadala.vinginevya inaonekana tume imekuwa msumari kwa wasaka vyeo.

Kama wanaendelea,nadhani na nitakuwa sana na imani na tume ya Mh.Jaji Warioba kwa kutokubali kuburuzwa na wakaleta mawazo huru ya watanzania.
Kinachoonejana ni ccm kuona kuwa Jaji Warioba hakuleta kile walichomshinikiza alete ndio maana sehemu ya kuhakikisha walichomtuma akakidharau ni kuleta wazo la kura ya siri ili kulinda makada na waliohongwa kutoenda kinyume cha ccm ingekuwa eti ni ili watu wawaone wwliowatuna wameamua nini inakuaje kwa mikatabaya richmond,dowans na meremeta na ile ya wachina haiko wazi na mingine kusainiwa usiku?eti kura ya wazi huu uwazi ni muhimu kwetu ambao vitu nyeti kama mikataba viko kabatini hatujui kinachoendelea?

Kipi muhimu kuwa wazi kati ya kura na mikataba ya mali zetu(madini)?????
Wanafiki!!!!
 
Wengi wanatoa hoja za kumkashifu mh.jaji warioba aliyeongoza tume ya kukusanya maoni ya watanzania kuhusu mabadiliko ya katiba na kuiwasilisha bungeni ambayo sasa inaendelea kujadiliwa sasa.
Nikiangalia hasa kipengele kinachohusu muundo wa serikali ya muungano ambao wengi wamependekeza tatu wengine mbili hasa ccm kudai mbili inafedhehesha kwa unafiki mkubwq unaoendelea ukifanywa na makada wengi wa ccm na wastaafu na wengine kwa sababu zao binafsi.
kabla ya kumshambulia Jaji Warioba naomba tujiulize haya:

-Hiyo tume ni ya jaji au ya rais?
-Wanajadili mawazo ya jaji warioba au ya watanzania?

Rais na makada wa ccm wanasema kuhusu muundo wa muungano ni maoni ya warioba na tume yake inawezekana lakini nauona unafiki katika hili nao ni huu:
1.kama ni mawazo ya jaji warioba na si ya watanzania basi ccm na wanaunga mkono hilo ni wanafiki maana tumewatuma kujadili mawazo ya watanzania si ya kaji warioba.

2.kwa sababu jaji amedanganya na wanaushahidi wasitishe bunge la katiba wamshtaki kwa kutoleta mawazo na maoni ya watanzania bali ya kwake na wapambe wake,kama wanaendelea kupiga kelele bila kumwajibisha ni unafiki.

3.Hii ni tume ya rais kama imedanganya asitishe mjadala.vinginevya inaonekana tume imekuwa msumari kwa wasaka vyeo.

Kama wanaendelea,nadhani na nitakuwa sana na imani na tume ya Mh.Jaji Warioba kwa kutokubali kuburuzwa na wakaleta mawazo huru ya watanzania.
Kinachoonejana ni ccm kuona kuwa Jaji Warioba hakuleta kile walichomshinikiza alete ndio maana sehemu ya kuhakikisha walichomtuma akakidharau ni kuleta wazo la kura ya siri ili kulinda makada na waliohongwa kutoenda kinyume cha ccm ingekuwa eti ni ili watu wawaone wwliowatuna wameamua nini inakuaje kwa mikatabaya richmond,dowans na meremeta na ile ya wachina haiko wazi na mingine kusainiwa usiku?eti kura ya wazi huu uwazi ni muhimu kwetu ambao vitu nyeti kama mikataba viko kabatini hatujui kinachoendelea?

Kipi muhimu kuwa wazi kati ya kura na mikataba ya mali zetu(madini)?????
Wanafiki!!!!


Kuna visasi vinaendelea ili hatujui ni dhidi ya nani kati ya makamishna wa tume.Salimu kakaa kimya,Mwesiga nae.Kuna kitu hapa.Time will tell.
Haya mashambulizi mpaka na Kinana si bure!!
 
Hakuna wa kijibu haya maswali. Kama ni kweli basi walao achukuliwe hatua hata kwa ngaz ya chama
 
Kinachosikitisha zaidi ni kuweka RASIMU kama mawazo pekee ya Judge Warioba,hivi wanaomshutuma wameshindwa kabisa kufikiri kuwa kwenye TUME hiyo hakuwa Judge Warioba pekee?Ina maana hawa wenzake walikuwa wanaduwaa tu wakati wanaandika?Sielewi mantiki ya kumtuhumu Judge Warioba.

Hivi Wajumbe hawa wakatiba wakihitaji msaada wa Tume hii watapata ushirikiano baada ya maneno yote haya?Kama Rasimu haikuwa matakwa ya Watanzania kwa nini waendelee kuijadili?
 
Huna hoja mweupe sana mkuu jipange vizuri udhati wa hoja yako sijauona hata kidogo.
 
Kinachosikitisha zaidi ni kuweka RASIMU kama mawazo pekee ya Judge Warioba,hivi wanaomshutuma wameshindwa kabisa kufikiri kuwa kwenye TUME hiyo hakuwa Judge Warioba pekee?Ina maana hawa wenzake walikuwa wanaduwaa tu wakati wanaandika?Sielewi mantiki ya kumtuhumu Judge Warioba.

Hivi Wajumbe hawa wakatiba wakihitaji msaada wa Tume hii watapata ushirikiano baada ya maneno yote haya?Kama Rasimu haikuwa matakwa ya Watanzania kwa nini waendelee kuijadili?
Hata mimi anachonikela warioba ni kukomaa kutetea mawazo ya wananchi kama vile ni maoni yake kwa nini asinyamaze aache bunge la katiba lifanye kazi yake.
 
Naskia kuna mapendekezo yanakuja kwamba kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 pia wananchi/wapiga kura watatakiwa wapige kura ya wazi. Lengo ni kuwadhibiti wananchi "wakorofi" ambao wamekuwa wakihongwa halafu wakifika kwenye sanduku la kura wakiwa peke yao kwa siri wanampigia kura mgombea hohehahe ambaye hakuwahonga hata pakti ya chumvi.
 
hata kama ni mawazo ya warioba kwa ni warioba sio mwananchi. ndio maoni hayo ya wananchi akiwamo yeye.

Kwa mimi binafsi mtu wa kawaida kuna vitu vinajulikana ni tatizo tanzania hata bila kuzunguka nchini, huitaji kusafiri ili kujua wakulima wana kero ya mbolea, huitai kuzunguka nchini kujua muungano wetu una matatizo yako wazi hayo
 
Hata mimi anachonikela warioba ni kukomaa kutetea mawazo ya wananchi kama vile ni maoni yake kwa nini asinyamaze aache bunge la katiba lifanye kazi yake.

Anakomaa sababu ndiye mmoja kati ya waliofanyia kazi RASIMU hiyo hivyo anajua ABC zote.Kwa nini kama wanaona si sahihi wakavunja tu hilo BUNGE tukabakisha japo kidogo vijisenti kwa ajili ya hospitali au shule zetu.

Hakuna haja ya kujadili kama kunaonekana hayo mawazo yalikuwa ya mtu mmoja!Shida watanzania hatupendi kuambiwa ukweli,msema ukweli daima anachukiwa na wanasiasa wengi.

Na siku JK atakapoachia URAIS atasema sikujua kama hivi ndivyo ilivyo wakati atakuwa ameshadhalilisha watu wengi.Angeiacha ijadiliwe kwa uhuru hiyo rasimu.Mzee wa watu tume yake imesema ukweli uliomchungu kwetu sote,kilichobaki ni kutafuta dawa ya kilichosemwa,tusimdhalilishe tujadili hoja zao na ikibidi tuwaulize,nimeweka zao na tuwa sababu wako wengi na si peke yake.
 
Tunataka Tanganyika, Kwanza hati ya muungano hakuna.
 
Ni ajabu kumuona Kinana, Nape, Sendeka, JK ni Wazalendo zaidi kuliko Warioba, Butiku, Salimu, Jaji Ramadhan. Unafiki ulio wazi.
 
Kimsingi bunge letu limekosa heshima kwa tume na wananchi kwa ujumla.

Haiwezekani mtu mwenye akili timamu ajitokeze na kusema, warioba amewadanganya watanzania kwa kuleta maoni ya uongo kinyume na matakwa ya wananchi, hii ni dhambi kubwa mno mbele ya watanzania na Mungu wao.

Kama hayo maoni hayakutokana na wananchi bunge la katiba linafanya nini hapo Dodoma? Kwa nini lisivunjwe na kumshauri Rais kuteua tume nyingine ikakusanye takwimu za kiccm ili waje na rasimu wanayo itaka?

Tulipo fika sasa Taifa liko kwenye kipindi cha mpito. Mbaya zaidi viongozi wetu wa dini nao wamedumbukia kwenye mtego wa ccm bila hata woga! Mfano shehe wa DSM, PENGO ,KILAINI nk.hivi wafuasi wenu wa kidini wakiamua kuanzisha dini zao mtawalaumu? Nawauliza! Hasa huyu pengo na shehe! Jamani hatuna viongozi wa dini bali tuna wanafiki na waizi wa sadaka na michango kanisani isiyopunguwa huku wao wakijilimbikizia mali.

Jaji Warioba usife moyo najua wajumbe wenzako wemezibwa mdomo wamekutoa wewe kafala! Hawataki kuungana na wewe wametulia tuli wamekuachia wewe hii vita wao wametokomea majumbani kwao wanatafuna posho za wananchi.hii ni dhambi kubwa sana kwa hao wajumbe wako. Usikate tamaa hakika taifa litakukumbuka na kwa rekodi zangu hapa umekwisha mfunika mpaka baba wa Taifa mwl.Nyerere.
 
Hata mimi anachonikela warioba ni kukomaa kutetea mawazo ya wananchi kama vile ni maoni yake kwa nini asinyamaze aache bunge la katiba lifanye kazi yake.

Wambie kwanza hao ccm wanyamaze kwanza kwani wao kila siku wanataja jina la warioba kila sekunde yani wakilala wanawaza kesho waseme nini juu ya warioba.jamani tuwe na hofu ya mungu!
Warioba ulisha msikia anajitokeza ovyoovyo kama hao nyinyiemu wako? Mnaogopa nini? Mnakitu gani kinacho wapa hofu ya muundo wa serikali tatu ? Hii dhambi haitawaacha salama na vizazi vyenu.ee mungu tuepushe la hili li chama la ccm ni ukoo wake na SHETANI uliye mtupa duniani.ee mwenyezi Mungu tusaidie.AMINA!
 
Hata mimi anachonikela warioba ni kukomaa kutetea mawazo ya wananchi kama vile ni maoni yake kwa nini asinyamaze aache bunge la katiba lifanye kazi yake.

Nafikiri Warioba anajaribu kuwa-warn watu kwa vile CCM washaonyesha kutokuyaheshimu mawazo ya wananchi na pia wana nia ya kuyabadili. Kama unavyosema basi CCM wasingepeleka rasimu yao mbadala kwa wajumbe wao wala Rais asingehutubia kwa kujibu mawasilisho ya Warioba.
 
Ilikuwa nafasi nzuri kwa warioba ambaye kwenye kipindi chake hakuna cha kukumbukwa kujijengea upya heshima yake.ndio maana hata julius alimuweka kando wkt wa utawala wake
 
Ni ajabu kumuona Kinana, Nape, Sendeka, JK ni Wazalendo zaidi kuliko Warioba, Butiku, Salimu, Jaji Ramadhan. Unafiki ulio wazi.

Mimi nafikiri yule mtoto wa Noah (Nuhu) ambaye inasemekana alilaaniwa kwenye bible nafikiri alikuja kusettle Tanzania ............... Kama siyo hivyo basi Watanzania tutakuwa tumerogwa!! Eti Nape naye anazengua watu!!!
 
sisimu wote wanafiki na wanalindans wale kila mtu anwajua wanatengeneza katiba ya ccm na sio ya wstanzania
 
Wengi wanatoa hoja za kumkashifu mh.jaji warioba aliyeongoza tume ya kukusanya maoni ya watanzania kuhusu mabadiliko ya katiba na kuiwasilisha bungeni ambayo sasa inaendelea kujadiliwa sasa.
Nikiangalia hasa kipengele kinachohusu muundo wa serikali ya muungano ambao wengi wamependekeza tatu wengine mbili hasa ccm kudai mbili inafedhehesha kwa unafiki mkubwq unaoendelea ukifanywa na makada wengi wa ccm na wastaafu na wengine kwa sababu zao binafsi.
kabla ya kumshambulia Jaji Warioba naomba tujiulize haya:

-Hiyo tume ni ya jaji au ya rais?
-Wanajadili mawazo ya jaji warioba au ya watanzania?

Rais na makada wa ccm wanasema kuhusu muundo wa muungano ni maoni ya warioba na tume yake inawezekana lakini nauona unafiki katika hili nao ni huu:
1.kama ni mawazo ya jaji warioba na si ya watanzania basi ccm na wanaunga mkono hilo ni wanafiki maana tumewatuma kujadili mawazo ya watanzania si ya kaji warioba.

2.kwa sababu jaji amedanganya na wanaushahidi wasitishe bunge la katiba wamshtaki kwa kutoleta mawazo na maoni ya watanzania bali ya kwake na wapambe wake,kama wanaendelea kupiga kelele bila kumwajibisha ni unafiki.

3.Hii ni tume ya rais kama imedanganya asitishe mjadala.vinginevya inaonekana tume imekuwa msumari kwa wasaka vyeo.

Kama wanaendelea,nadhani na nitakuwa sana na imani na tume ya Mh.Jaji Warioba kwa kutokubali kuburuzwa na wakaleta mawazo huru ya watanzania.
Kinachoonejana ni ccm kuona kuwa Jaji Warioba hakuleta kile walichomshinikiza alete ndio maana sehemu ya kuhakikisha walichomtuma akakidharau ni kuleta wazo la kura ya siri ili kulinda makada na waliohongwa kutoenda kinyume cha ccm ingekuwa eti ni ili watu wawaone wwliowatuna wameamua nini inakuaje kwa mikatabaya richmond,dowans na meremeta na ile ya wachina haiko wazi na mingine kusainiwa usiku?eti kura ya wazi huu uwazi ni muhimu kwetu ambao vitu nyeti kama mikataba viko kabatini hatujui kinachoendelea?

Kipi muhimu kuwa wazi kati ya kura na mikataba ya mali zetu(madini)?????
Wanafiki!!!!

Warioba alichukua mawazo ya baadhi ya Wananchi ambao aliwaita "Wananchi walio wengi" akachanganya na ya kwake akaandika Rasimu!
Kuonesha kwamba Warioba ni mtu wa kuchomekea kuna baadhi ya mambo yasiyo ya Muungano aliyachomekea. Kwa mfano: 1. Tume Huru ya Uchaguzi 2. Tume ya Haki za Binadamu 3. Bunge 4. Serikali 5. Mahakama, nk
Kwa kifupi Dola kwa mujibu wa Rasimu haina muhimili hata mmoja akachomekea kingine kibaya zaidi cha "Nchi 3" ambacho hakuna mwananchi hata mmoja aliyetoa maoni kuundwa kwa "Nvhi 3!" Huyo ndo Warioba bana!
 
Mtoa Uzi upo makini! Hao wajinga wanataka kuupotosha umma, imefika mahali hatutakuwa na wakemeaji ama waonyaji km inafikia mahali kina Riz 1 kwa akili ndogo alizonazo, umri mdogo uwezo mdogo wa kuchanganua mambo na ulevi wa madaraka ya baba yake anadiriki kumtukana Jaji Warioba, viongozi wengine wanakaa kimya! Tumefika pabaya, nchi inaongozwa kwa upotoshaji, kejeli na matuc kwa watu makini kama Warioba cjui jei k anawatafuta nini watz?
 
Wengi wanatoa hoja za kumkashifu mh.jaji warioba aliyeongoza tume ya kukusanya maoni ya watanzania kuhusu mabadiliko ya katiba na kuiwasilisha bungeni ambayo sasa inaendelea kujadiliwa sasa.
Nikiangalia hasa kipengele kinachohusu muundo wa serikali ya muungano ambao wengi wamependekeza tatu wengine mbili hasa ccm kudai mbili inafedhehesha kwa unafiki mkubwq unaoendelea ukifanywa na makada wengi wa ccm na wastaafu na wengine kwa sababu zao binafsi.
kabla ya kumshambulia Jaji Warioba naomba tujiulize haya:

-Hiyo tume ni ya jaji au ya rais?
-Wanajadili mawazo ya jaji warioba au ya watanzania?

Rais na makada wa ccm wanasema kuhusu muundo wa muungano ni maoni ya warioba na tume yake inawezekana lakini nauona unafiki katika hili nao ni huu:
1.kama ni mawazo ya jaji warioba na si ya watanzania basi ccm na wanaunga mkono hilo ni wanafiki maana tumewatuma kujadili mawazo ya watanzania si ya kaji warioba.

2.kwa sababu jaji amedanganya na wanaushahidi wasitishe bunge la katiba wamshtaki kwa kutoleta mawazo na maoni ya watanzania bali ya kwake na wapambe wake,kama wanaendelea kupiga kelele bila kumwajibisha ni unafiki.

3.Hii ni tume ya rais kama imedanganya asitishe mjadala.vinginevya inaonekana tume imekuwa msumari kwa wasaka vyeo.

Kama wanaendelea,nadhani na nitakuwa sana na imani na tume ya Mh.Jaji Warioba kwa kutokubali kuburuzwa na wakaleta mawazo huru ya watanzania.
Kinachoonejana ni ccm kuona kuwa Jaji Warioba hakuleta kile walichomshinikiza alete ndio maana sehemu ya kuhakikisha walichomtuma akakidharau ni kuleta wazo la kura ya siri ili kulinda makada na waliohongwa kutoenda kinyume cha ccm ingekuwa eti ni ili watu wawaone wwliowatuna wameamua nini inakuaje kwa mikatabaya richmond,dowans na meremeta na ile ya wachina haiko wazi na mingine kusainiwa usiku?eti kura ya wazi huu uwazi ni muhimu kwetu ambao vitu nyeti kama mikataba viko kabatini hatujui kinachoendelea?

Kipi muhimu kuwa wazi kati ya kura na mikataba ya mali zetu(madini)?????
Wanafiki!!!!
Nakumbuka JK akiwahutubia wazee wa dar alisema katiba mpya isizungumzie juu ya muungano
 
Back
Top Bottom