Chilojnr
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 302
- 1,306
CLICKBAIT
Series nyingine ya kiume hii hapa. Humu kuna jamaa anaitwa Brewer, siku ya birthday ya mama yake, kukatokea kaugomvi kadogo tu na mdogo ake, Pia, so dogo akasepa.
Kesho imefika, watu wanaangalia mtandaoni, wanamuona Brewer ameshika bango linalojieleza ana kosa la kumdhalilisha mwanamke, halafu na jingine kwa kufanya mauaji.
Pia hajui nini kinaendelea, anashtuka. Mbali na hilo bango, pia kuna bango jingine linasema hiyo video ikifikisha viewers milioni 5, basi jamaa anauawa, ili asiuawe, haitakiwi kufika 5M.
Hapo ndipo msala unapoanza. Polisi wanaingia kazini, wanachunguza na kuchunguza, muda unakwenda, viewers wanaongezeka hali inayowatisha ndugu wote akiwemo mkewe.
Unahisi nini? Viewers 5M walifika? Kama walifika, je, jamaa aliuawa? Na kama aliuawa, nani alimuua?
Okay! Tufanye hawakufika, nani alimteka? Lengo ni nini? Ukiiangalia, majibu ya maswali yote yapo humo.
Siku hizi hawataki kutuchosha, kuna episodes 8 tu mzigo wote.
Series nyingine ya kiume hii hapa. Humu kuna jamaa anaitwa Brewer, siku ya birthday ya mama yake, kukatokea kaugomvi kadogo tu na mdogo ake, Pia, so dogo akasepa.
Kesho imefika, watu wanaangalia mtandaoni, wanamuona Brewer ameshika bango linalojieleza ana kosa la kumdhalilisha mwanamke, halafu na jingine kwa kufanya mauaji.
Pia hajui nini kinaendelea, anashtuka. Mbali na hilo bango, pia kuna bango jingine linasema hiyo video ikifikisha viewers milioni 5, basi jamaa anauawa, ili asiuawe, haitakiwi kufika 5M.
Hapo ndipo msala unapoanza. Polisi wanaingia kazini, wanachunguza na kuchunguza, muda unakwenda, viewers wanaongezeka hali inayowatisha ndugu wote akiwemo mkewe.
Unahisi nini? Viewers 5M walifika? Kama walifika, je, jamaa aliuawa? Na kama aliuawa, nani alimuua?
Okay! Tufanye hawakufika, nani alimteka? Lengo ni nini? Ukiiangalia, majibu ya maswali yote yapo humo.
Siku hizi hawataki kutuchosha, kuna episodes 8 tu mzigo wote.