Halafu utashangaa jamaa ana mpenzi wake anampenda kuliko kitu kingine chochote Mungu mkubwa hata wabaya wana watoto na familia ha ha ha ha.Jamaa kanikumbusha wimbo wa Dr Remmy Kipenda rohoo.
Kwani kuna faida gani yakujua huyu ni wawapi? Acheni hzo. Huyu ni psychiatric tu na mm na ww tunaweza kuwa hv siku na saa yeyote.. acheni kufuru bhana.