Kabati zuri la aluminium linauzwa

Kabati zuri la aluminium linauzwa

Ivenosa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
210
Reaction score
80
bado jipya limetumika kiasi bei maelewano njoo pm
 
weka namba na picha
labda lipo PM ukienda ndio linaonekana....

Sijui kwanini watu wanaweka Matangazo Nusu Nusu..., hivyo kuwapa watu tabu ya kuuliza maswali ambayo yangejibiwa kwa picha, mahali kabati lilipo na ikibidi hata bei...
 
labda lipo PM ukienda ndio linaonekana....

Sijui kwanini watu wanaweka Matangazo Nusu Nusu..., hivyo kuwapa watu tabu ya kuuliza maswali ambayo yangejibiwa kwa picha, mahali kabati lilipo na ikibidi hata bei...

bei laki na sabini
ina urefu wa mita moja upana futi tatu lipo dar ilala
 
Kweli wabongo hatujui iashara, yaani wewe hata kutupiamo ka picha tu umeona kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom