Kabadilika tabia na bado nampenda

Kabadilika tabia na bado nampenda

dogo_mjuaji

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
222
Reaction score
48
Nina mpenzi wangu wa kike ana miaka 21 tunayependana sana tunaishi mikoa tofauti na hatujaonana zaidi ya mwaka na nusu..najiuliza kwa nini kipindi cha karibuni ananletea mazoea ya kijinga tukichart anani treat kama kaka/msela yake jinsi anavoniamkia unaweza ukadhani me ni mshikaji wake.imefika kipindi tunakaa mwezi mzima hajaniita majina ya kimapenzi kama baby au mpenzi..nlijaribu kumweleza wasiwasi wangu kwake nahisi hanipendi tena akanambia kwamba tumeshatongozana na kuhaidiana mengi kwa hio et nitulize wenge nisiwe na wasiwasi na kwamba kuchombezana kila siku ni mapenzi ya kitoto..kwa kweli nimekuwa simwelewi amepatwa na nini wakati mwingne anapiga picha akiwa amevalia nguo za kiume,mikogo na mikato ya kiume anaziweka mitandaon(UKIZIHITAJI HIZO PICHA NIKURISHIE WHATSAPP UZIONE NTUMIE NAMBA YAKO NIKURUSHIE UMUONE).kaingiliwa na jini gani mbona tabia za usagaji nimefanya uchunguzi hana sa kwanini awe kama tom boy salama jabiri..naombeni ushauri nianze wapi kumbadilisha arudi kwenye tabia za kike kama zamani bila ya kuachana maana sasa imekuwa too much mpaka nimemisi kumbembeleza lakini nafasi nakosa.?.kadata kama mvuta bangi alishawah kunambia kwamba hataruhusu mwanaume yoyote akiwepo mimi amuingizie gegedo alafu badae akaniomba msamaha..anapenda tuchat mda wote lakini tupige stori za kawaida nikiingiza stori za mapenz na mahusiano yetu ananiambia et mida kama vipi kuna kazi nafanya ila kama ni stor za kawaida mfano za burudani mtapiga siku nzima
NISAIDIENI MDOGO WENU NIMFANYAJE SHEMEJI YENU.NIANZIE WAPI KUMBADILISHA ARUDI KWENYE MSTARI.
 
Manz akizengua muache wako weng wazur kaka hapo huna lako ni bora umwache haita kuuma sana kuliko ukisubir akuache
 
Nina mpenzi wangu wa kike ana miaka 21 tunayependana sana tunaishi mikoa tofauti na hatujaonana zaidi ya mwaka na nusu..najiuliza kwa nini kipindi cha karibuni ananletea mazoea ya kijinga tukichart anani treat kama kaka/msela yake jinsi anavoniamkia unaweza ukadhani me ni mshikaji wake.imefika kipindi tunakaa mwezi mzima hajaniita majina ya kimapenzi kama baby au mpenzi..nlijaribu kumweleza wasiwasi wangu kwake nahisi hanipendi tena akanambia kwamba tumeshatongozana na kuhaidiana mengi kwa hio et nitulize wenge nisiwe na wasiwasi na kwamba kuchombezana kila siku ni mapenzi ya kitoto..kwa kweli nimekuwa simwelewi amepatwa na nini wakati mwingne anapiga picha akiwa amevalia nguo za kiume,mikogo na mikato ya kiume anaziweka mitandaon..kaingiliwa na jini gani mbona tabia za usagaji nimefanya uchunguzi hana sa kwanini awe kama tom boy salama jabiri..naombeni ushauri nianze wapi kumbadilisha arudi kwenye tabia za kike kama zamani bila ya kuachana maana sasa imekuwa too much mpaka nimemisi kumbembeleza lakini nafasi nakosa.?.kadata kama mvuta bangi alishawah kunambia kwamba hataruhusu mwanaume yoyote akiwepo mimi amuingizie gegedo alafu badae akaniomba msamaha..anapenda tuchat mda wote lakini tupige stori za kawaida nikiingiza stori za mapenz na mahusiano yetu ananiambia et mida kama vipi kuna kazi nafanya ila kama ni stor za kawaida mfano za burudani mtapiga siku nzima
NISAIDIENI MDOGO WENU NIMFANYAJE SHEMEJI YENU.NIANZIE WAPI KUMBADILISHA ARUDI KWENYE MSTARI.

dogo pole wajanja walishakuwai. Anakufanyia visa ili ujiondoe
 
Ni pm mkuu nikuonyeshe picha anazopiga kama ni za kawaida kwa mtoto wa kike,ndo utajua ninachozungumzia
 
Hahahaha duh! kwa hiyo mtu akitaka picha unamrushia whats-app? Thought i seen it all. Haya bana, pole dogo.
 
Nina mpenzi wangu wa kike ana miaka 21 tunayependana sana tunaishi mikoa tofauti na hatujaonana zaidi ya mwaka na nusu..najiuliza kwa nini kipindi cha karibuni ananletea mazoea ya kijinga tukichart anani treat kama kaka/msela yake jinsi anavoniamkia unaweza ukadhani me ni mshikaji wake.imefika kipindi tunakaa mwezi mzima hajaniita majina ya kimapenzi kama baby au mpenzi..nlijaribu kumweleza wasiwasi wangu kwake nahisi hanipendi tena akanambia kwamba tumeshatongozana na kuhaidiana mengi kwa hio et nitulize wenge nisiwe na wasiwasi na kwamba kuchombezana kila siku ni mapenzi ya kitoto..kwa kweli nimekuwa simwelewi amepatwa na nini wakati mwingne anapiga picha akiwa amevalia nguo za kiume,mikogo na mikato ya kiume anaziweka mitandaon(UKIZIHITAJI HIZO PICHA NIKURISHIE WHATSAPP UZIONE NTUMIE NAMBA YAKO NIKURUSHIE UMUONE).kaingiliwa na jini gani mbona tabia za usagaji nimefanya uchunguzi hana sa kwanini awe kama tom boy salama jabiri..naombeni ushauri nianze wapi kumbadilisha arudi kwenye tabia za kike kama zamani bila ya kuachana maana sasa imekuwa too much mpaka nimemisi kumbembeleza lakini nafasi nakosa.?.kadata kama mvuta bangi alishawah kunambia kwamba hataruhusu mwanaume yoyote akiwepo mimi amuingizie gegedo alafu badae akaniomba msamaha..anapenda tuchat mda wote lakini tupige stori za kawaida nikiingiza stori za mapenz na mahusiano yetu ananiambia et mida kama vipi kuna kazi nafanya ila kama ni stor za kawaida mfano za burudani mtapiga siku nzima
NISAIDIENI MDOGO WENU NIMFANYAJE SHEMEJI YENU.NIANZIE WAPI KUMBADILISHA ARUDI KWENYE MSTARI.

Mwaka mmoja na nusu na hamjaonana na mpo tz sasa mngekuwa nchi tofauti ingekuwaje,mahusiano ya mbali yana changamoto zake me nakushauri uende ukamuone me pia npo kwenye mahusiano ya mbali kama ww ila huwa tuajtahd kutembeleana
 
Manz akizengua muache wako weng wazur kaka hapo huna lako ni bora umwache haita kuuma sana kuliko ukisubir akuache

Kumwacha mtu unayempenda ni sawa na kuisikiza akili yako kuliko moyo..naanzaje kumwacha mtu kwa tabia ambayo pia inaweza kubadilishwa
 
Kumwacha mtu unayempenda ni sawa na kuisikiza akili yako kuliko moyo..naanzaje kumwacha mtu kwa tabia ambayo pia inaweza kubadilishwa

Ni pm namba yake nijaribu kuongea nae nijue ana gatizo gani nikusaidie kumrekebisha. Pole sana.
 
Nafikiri uchukue hatua kama mwanamme kwa kufanyia kazi yafuatayo: 1. Muulize kwa kumjaribu lini umuoe kwa kumwambia uko tayari wakati wowote kumuoa ili uone mwitikio wake, akikataa kwa vijisababu visivyoeleweka au kuweka nyakati tofauti za kuoana! Yaani haeleweki! jua anakupiga chenga huyo hajielewi tu na ana mtu anamfanya uzinzi au wanakaribia kuanza usaliti wa kizinzi. 2. Muonyeshe kuwa wampenda sana kwa kuwasiliana nae mida ya kutongozana kuanzia saa 4 usiku na saa 12 asubuhi ili kujua cmu yake ikoje busy mida hiyo, ukiona iko busy sana muulize huwa anaongea na nani hiyo mida ya usiku karibia kila siku au kwa kila siku. AKIKUJIBU- ni rafiki wa kawaida, basi umwambie hutaki hiyo tabia, akiendeleza hyo tabia au akakujibu kwa ukali au kejeli tayari ujue KUNA MTU ANAYEMDANGANYA AU WAPO KWENYE HATUA ZA MWISHO ZA KUZINI. 3. Kuwa the Distance spy(mdadisi/shushushu wa mbali) kwa kumsurprise kumpigia simu mida asiyozoea we kumpigia lazima kama wewe ni SPY BY NATURE utagundua mengi yaliyo hasi kumhusu. 4. Acha kumpigisha stori za mapenzi badala yake mfanye kama dada yako hata kwa kuongea naye kwa dakika hata 3 tu kila mchana na sio usiku na usiku piga kimya, utaona reaction yake kama akupenda atakuhoji kwanini umebadilika ila kama sivyo ndo hata hana mda wa kukuuliza, lakini take care hata akikuuliza haimanishi hana mtu ila yawezekana yeye ni intelligent betrayalist( msaliti mwerevu) aweza jifanya anakupenda kumbe anakuficha kwa kukuandaa kuwa mme wake huku wasio na future naye wanamchafua, kuwa makini kumfahamu zaidi 5. Piga kimya hata wiki 2 bila text wala call uone vipi atakavyosema, akipiga kimya wiki zote 2 ujue kuna mtu anamchanganya. 6. Mwambie unataraji kumtembelea usikie mwitikio wake akikataa au akianza kuweweseka ujue kuna kitu, kama akikubali kumtembelea uvizie cmu yake uikague utajua vitu vya ajabu sana 7.Jiongeze kuwa mdadisi kwa kila jambo.
 
Nina Nengi Ya Kufahamu Kabla Sijakushauli, Nipm Nikupe Ya Kikubwa Dawa...Tutajua Tuu Tatizo.
 
Ushauriwe kumbadilisha avae nguo za kike au kukupenda kama zamani
 
Back
Top Bottom