kwan lazma uchakachue hyo modem, ulinunua ya nn kama huwez kuilipia? watu wengine bwana, wamekalia ufisadi tuuuu....si lazma ukombe mabilioni BOT au uchukue rushwa au utoe ushinde uchaguzi, hata huo ni ufisadi na wizi! kama huna pesa ya kulipia gharama za modem itupe tu.