Ni kweli zinatofauti sana, kama kubwa inakusumbua kwenye kuiandika achana nayo, jizoeshe kuiandika k ndogo, itakusaidia kuremba mwandiko na mwalimu atakupa sifa!
K, kubwa inasumbua sana kuandika yani utaona inaelea tu kwenye mstari hata haitoshi vizuri ila K,ndogo ukiandika inatosha vizuri kwenye ile mistari ya daftari!