JWTZ wa Tanzania Wamewasili DRC Kulinda Amani.Ni Baada ya "Kutimuliwa" Kwa Wanajeshi wa Kenya.

Hakuna Ulinzi wa UN wala nini. Kinachofanyika ni UN kuiba raslimali za Kongo kwa kisingizio Cha walinda amani
 
Mbona maelezo na picha ni ya kikosi kilichowasili Bangui au huu ni mji wa DRC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…