Unaanzia jkt unalimaa sana ndo uingie jw kisha kuna usahili za ndani kwa wanajeshi walioko tayari jeshini ukishinda ndo unaenda kusomea uofisa wa jeshi,
mkuu iv unafkir kila mtu anakipaj cha kujiajir! na je wote tukijiajir si itakua shda tena! watanzania toka enz mababu tushazoea spoonfeeding, kwenye kilimo rainfed, entrepreneur tunayojifunza ni kwa ajil ya kupata gpa 4.9 and not otherwise
mkuu iv unafkir kila mtu anakipaj cha kujiajir! na je wote tukijiajir si itakua shda tena! watanzania toka enz mababu tushazoea spoonfeeding, kwenye kilimo rainfed, entrepreneur tunayojifunza ni kwa ajil ya kupata gpa 4.9 and not otherwise
mkuu iv unafkir kila mtu anakipaj cha kujiajir! na je wote tukijiajir si itakua shda tena! watanzania toka enz mababu tushazoea spoonfeeding, kwenye kilimo rainfed, entrepreneur tunayojifunza ni kwa ajil ya kupata gpa 4.9 and not otherwise
Sio utani mkuu, kwanza hata mahakamani vigezo vya dhamana utasikia in some cases wanatakiwa wadhamini watumishi wa umma. Ajira heshma bwana coz hata hao waajiriwa wamejiajiri nao.
Ili uwezo kuajiriwa Jwtz lazima uwe mjeda vinginevyo labda jesh likuhitaji na likikuhitaji unaenda hata kama huna vigezo unapigwa msasa kidogo then unaingia job na hii ni kwa wale walio na taaluma nyet. Vinginevyo inabidi utafute nafas ya kuingia kule uanze koz kama kuruta mpaka hapo utakapoajiriwa Tpdf ndio utoe vyet vyako ili uwezo kuajiriwa ktk fan yako na nachojua jkt wanaingia hii januar tafuta nafas fasta kama una nia kwel