Daah!baab!mvumilivu hula mbivu,cha msingi ni kusikilizia upepo,maana hapa kuna wengine wanaleta mkanganyiko wa taarifa,sijui wivu, hawataki 2jue muda watakao toa taarifa za kujiunga na jeshi,hebu 2peane ukweli,wote 2nataka 2we wazalendo wa taifa le2,ukinibania kunipa information haitakusaidia chochote.