specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,141
- 617
Habari wakuu,
Leo saa 17:36 nimepokea ujumbe wa utapeli unaolichafua jeshi letu.
Naomba jeshi limtafute huyu mtu anayetunia namba +255 692 415 547 aliyenitumia sms ya utapeli ili aeleze vizuri.
Nimeambatanisha ujumbe wake sms aliyotuma kwenye namba yangu nikiamini amewatumia watu wengine wengi.
Pia natoa wito kwa makampuni ya halotel na TTCL waangalie upya na wajiulize kwanini siku hizi sms nyingi za UTAPELI zinatoka kwenye namba zao kwa maana ya wateja wa TTCL na HALOTEL.
Leo saa 17:36 nimepokea ujumbe wa utapeli unaolichafua jeshi letu.
Naomba jeshi limtafute huyu mtu anayetunia namba +255 692 415 547 aliyenitumia sms ya utapeli ili aeleze vizuri.
Nimeambatanisha ujumbe wake sms aliyotuma kwenye namba yangu nikiamini amewatumia watu wengine wengi.
Pia natoa wito kwa makampuni ya halotel na TTCL waangalie upya na wajiulize kwanini siku hizi sms nyingi za UTAPELI zinatoka kwenye namba zao kwa maana ya wateja wa TTCL na HALOTEL.