Mmh!! Na wewe jux ebu acha usanii, ina maana mitandao yote hiyo hujasikia kama jack kafungwa mpaka uende china? halafu si ulikataaga wewe kuwa usiulizwe kuhusu jack , sasa imekuwaje?
Mmh!! Na wewe jux ebu acha usanii, ina maana mitandao yote hiyo hujasikia kama jack kafungwa mpaka uende china? halafu si ulikataaga wewe kuwa usiulizwe kuhusu jack , sasa imekuwaje?
aisee jacky nae!mbona jux mtoto...?!!!
Wabustiwe kivipi tena ebu tufafanulie
Wabustiwe kivipi tena ebu tufafanulie
Huyo jux na zake zinahesabika, yeye si ndo alikuwa distributor wa hiyo sembe. Jack alikuwa anaifikisha Guangzhou kupitia either macau au hong kong yeye ndo anaisambaza kwenda Beijing, Tianjin na miji mingine. Anajifanya mwanafunzi wakati hakuna mtu anayejua anasoma chuo gani, wala hakuna washkaji zake waliowahi kusikia siku flani ana class au ana pepa. Ajichunge sana, yuko under spotlight. Tangu pusher mwenzake adakwe anajifanya mda mwingi yupo Tanzania, ramani imeungua.
Mmh!! Yani wasanii kiboko si anajifanya apo eti alikuwa hajui kuwa jack anauza unga , da kweli jamaa kaua
Binamu umerudi nimefurahi sana
Best na wewe upo dunia ya ngapi? Waliachana mda kabla hata ya kwenda jela, bibie kaona madawa ndo habar ya mujini yakamkuta na kumkuta sasa ivi ananyea debe