Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,871
Mkuu me naomba nimtetee Conte, anarundikiwa magalasa kibao, wengine hata hawahitaji na bado we expect him kumanage the squad perfectly na kila mchezaji awe na furaha clabun, kocha hana namna inabidi tu sometimes afanye rotation, no way out!
hilo suala la upangaji timu nakubaliana nawe Conte anakosea.lakini usajili hata huo unaozungumzia unatupa shida.Jovetic hadi sasa bad😵gbonna mwenyewe tunambwela tu.kwa suala la usajili linaniudhi mno!
Uko sawa Chomba lakini je, hivi vipaji vya Serie A are they good enough to compete in Europe?
Hakuna kipaji cha ajabu ulichotaja hapo juu zaidi ya Hamsik na Di Natale, though na yeye ni maji ya jioni already
Hebu tuwe honest kidogo, hivi ni mchezaji gani mkubwa huko Ulaya utamsikia akihusishwa kwenda Serie A siku hizi? Siku hizi hata wataliano wenyewe wanacheza mpaka kwenye ligi nyanya kama Ligue 1 ya France na wanaitwa team ya Taifa,
Na unajua wachezaji wa kisasa wanakaa kwenye club yenye mafanikio hasa mafanikio ya UCL ambayo ndio ndoto ya every modern footballer.
Kwa mwendo huu itakua vigumu kukaa na wachezaji wazuri kama itatokea club inayoweza kuwapa mafanikio hasa ya UCL
Msikie mnafiki huyu;
Llorente: Juve are like Barca and Real
New Juventus striker Fernando Llorente has compared the club to Barcelona and Real Madrid as he prepares to move to Serie A from La Liga.
Spain international Llorente, 27, signed a four-year contract with Juve in January after deciding to leave Athletic Bilbao on a free transfer.
In an interview with Marca he has said he found it easy to join the Italian giants because of their reputation and stature in the world game.
"It's one of the best teams in Europe and the best in Italy," he said. "I'm lucky to be able to play for a team like that. I'm really looking forward to entering a new phase.
"[I joined Juventus] because it has impressed me ever since it expressed an interest. It's a really big club, comparable to Real and Barça. It's as though I've always known it was my team."
Duuh, siamini wakuu. Tumempata huyu mtu. hapa kidogo moyo umesuuzika.
Jembe hilo, tunasubiria medical exam tu tumpe jezi ya Bianconeri
who need Higuain £25 when you can have Tevez for £13?
Napoli president Aurelio De Laurentiis has revealed how he tried to bring Roma duo Erik Lamela and Marquinhos to the Serie A side. Striker Lamela scored 15 goals in 33 games last
season, while teenage centre-half Marquinhos has
attracted interest from Spanish giants Barcelona
and Real Madrid. Roma are part-owned by Italian bank Unicredit and
De Laurentiis says he went straight to them to
enquire about the highly-rated pair. "I contacted Unicredit directly for Lamela and
Marquinhos. I offered them 40million euros
(£34.1m)," he told Football Italia. "Instead, they offered me the services of Pablo
Daniel Osvaldo at all costs, but seeing as we have
Edinson Cavani right now, we don't need him. "However, at this moment in time, I'm no longer
convinced by Lamela and Marquinhos. I've noted
that there are other strong players around who are
cheaper."
Juve kaeni hapohapo mkiwaza kuwa nje ya Italy ndo kuna Vipaji...
Napoli president Aurelio De Laurentiis has revealed how he tried to bring Roma duo Erik Lamela and Marquinhos to the Serie A side. Striker Lamela scored 15 goals in 33 games last
season, while teenage centre-half Marquinhos has
attracted interest from Spanish giants Barcelona
and Real Madrid. Roma are part-owned by Italian bank Unicredit and
De Laurentiis says he went straight to them to
enquire about the highly-rated pair. "I contacted Unicredit directly for Lamela and
Marquinhos. I offered them 40million euros
(£34.1m)," he told Football Italia. "Instead, they offered me the services of Pablo
Daniel Osvaldo at all costs, but seeing as we have
Edinson Cavani right now, we don't need him. "However, at this moment in time, I'm no longer
convinced by Lamela and Marquinhos. I've noted
that there are other strong players around who are
cheaper."
Juve kaeni hapohapo mkiwaza kuwa nje ya Italy ndo kuna Vipaji...