Kumbe leo kuna mechi ?? Hata sijui.....duh acha tu darling nimeshalicheza lisegere hapa la Muhimbili usipime,tokea siku ile tushamrudisha kama mara 3 hivi na ya mwisho last week ndo alikuwa admitted ,ila sasahivi week hii Mungu anasaidia naona mkono wake,ila tu hapa maombi yangu tusirudi tena Muhimbili.
Kumbe leo kuna mechi ?? Hata sijui.....duh acha tu darling nimeshalicheza lisegere hapa la Muhimbili usipime,tokea siku ile tushamrudisha kama mara 3 hivi na ya mwisho last week ndo alikuwa admitted ,ila sasahivi week hii Mungu anasaidia naona mkono wake,ila tu hapa maombi yangu tusirudi tena Muhimbili.
Hawa Viola wanachomokea wapi leo?
Vijana watupe burudani baada ya game ya kuboa sana ya Roma na Napoli, AC Milan nao wanafuga mbwa kwa kutegemea mavi ya walevi, sasa leo mlevi kabadili njia